Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

.du kweli awa model zao wanazo zipanga nimeshindwa kuwasoma kumbe
srt 4922a ni kubwa kuliko 4930,4940,4950h na series me nilizan kadri model namb zinavyo panda ndo ukubwa kumbe inamaana 4922a imeizidi ile ya my tv 4940 uwezo
 
.du kweli awa model zao wanazo zipanga nimeshindwa kuwasoma kumbe
srt 4922a ni kubwa kuliko 4930,4940,4950h na series me nilizan kadri model namb zinavyo panda ndo ukubwa kumbe inamaana 4922a imeizidi ile ya my tv 4940 uwezo

umeelewa vzr
 
na STRONG SRT 4950M HD inayo ina kipi kipya vi2 walivyo orozesha pale vingine cjavielewa
 
hivi mkuu wangu Arselona upo poa lakini? naomba unisaidie frequency za upande wa mbc na zimbo tv nyingine ni zepi mkuu..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu@arselona nisaidie frequency za tbc,then star tv imepotea tangu juzi..natumia media com 930 plus.
 
umewasiliana na jirani zako kama na wao hawapati chnls ulizotaja? Kama wenzako wanapata basi ujue kuwa ungo wako umesogea.binafsi situmii sat Is906 natumia Eutelast 36A/36B. Tembelea hapa FlySat Intelsat 906 @ 64.2° East
 
NTV Kenya,QTV,KTN,Family TV1, Family TV2,Kass TV ni FTA katika satellite ya NSS12( 57E) ilipokuwa kbc tp 11025H11429 receiver lazima iwe MPEG4.

Mkuu nimejaribu kuweka hiyo frequency kwa ku add na pi hata ku edit lakini imegoma kuingia.Nifanyeje, natumia receiver ya Wiztech HD
 
Mkuu nimejaribu kuweka hiyo frequency kwa ku add na pi hata ku edit lakini imegoma kuingia.Nifanyeje, natumia receiver ya Wiztech HD

Kaka mi natumia wiztech-999HD nilifanikiwa kuzpata hizo channel kwa urahic sana na niliongeza frequency nyingine 11557 H 3300 nikapata k24 na radio nyingi zilizokuwa zinapatikana enz za kbc,jaribu kutega upya ku 'may be' imesogea kidogo
 
Mkuu@arselona nisaidie frequency za tbc,then star tv imepotea tangu juzi..natumia media com 930 plus.

Star tv wamepunguza signal kama TBC ilivyo.Inabidi uwe na ungo wa ft8 ndo utaipata.
 
Star tv wamepunguza signal kama TBC ilivyo.Inabidi uwe na ungo wa ft8 ndo utaipata.

Tunaomiliki madish ya ft6 kazi tunayo,lakn kama unatumia mpeg4 kupitia TING channel hizo zinapatikana,naomba kuuliza wadau kupitia hiyo TING hizo channel walizotuachia zitakuwa zakudumu au wametuachia kwa muda tu?
 
Enyi magwiji wa FTA's katika saka saka yangu ya leo nimekuta dish dogo la zu...u limefungwa kimgongomgongo na LNB imefungwa kisogoni, pamoja na kuwa limefunikizwa lakini ni wazi kuwa limepewa mwelekeo wa d...t.v, ni wazi kuwa wanaoangalia wanafaidika na kilichomo. Wajuzi twambieni !!
 
Tunaomiliki madish ya ft6
kazi tunayo,lakn kama unatumia mpeg4 kupitia TING channel hizo
zinapatikana,naomba kuuliza wadau kupitia hiyo TING hizo channel
walizotuachia zitakuwa zakudumu au wametuachia kwa muda tu?

Ni kwa muda tu mpaka watakapoanza kulipia kwa decoder zao, kwa sasa si unafahamu kwamba decoder zao hawalipii kwa sasa hadi mwisho wa mwaka ?
 
Ni kwa muda tu mpaka watakapoanza kulipia kwa decoder zao, kwa sasa si unafahamu kwamba decoder zao hawalipii kwa sasa hadi mwisho wa mwaka ?

Thanks kwa taarifa,ft8 naona haikwepeki hapa,,
 
sawa we Flavius yani umeshindwa kabisa kuona sehemu ya matangazo ilipo humu ndani? Mwanzo ulitangaza kufunga madish leo unatangaza mafunzo. Jifunze kujimiliki bila kuharibu utaratibu wa wengine.
 
Last edited by a moderator:

Moderators,hebu ondoeni hii kitu hapa tafadhali!
Inatuchafualia hewa hapa.
 
Moderators,hebu ondoeni hii kitu hapa tafadhali!
Inatuchafualia hewa hapa.

Kweli kabisa anatupotezea muda,watu toka tumeanza kusoma uzi huu sasa tunafunga dish zote 'from east to west'..apeleke tangazo lake gazetini huku awape nafasi wasio na choyo waendelee kutuelimisha bila malipo.
 
sawa we Flavius yani umeshindwa kabisa kuona sehemu ya matangazo ilipo humu ndani? Mwanzo ulitangaza kufunga madish leo unatangaza mafunzo. Jifunze kujimiliki bila kuharibu utaratibu wa wengine.

mkuu usataarabu ni kitu cha bure lakini wengine hawawezi! Imemshinda nini kujitangaza kwa thread yake mwenyewe?
 
Last edited by a moderator:
Kwa wengine inaweza ikawa marudio lkn nimeona ni jema kupitia humu ndani niwaeleze kinachoendelea kutokea kwangu. Kwa kupitia rcva yangu ya srt4922A nimefanikiwa kupata dstv kwa ku2mia cccam ac .kwa kweli server ipo stable sn.unahitaji net ya 3g na modem ya huawei (mi na2mia huawei e303
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…