Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Sasa wao wanatakatufanyeje kamahuduma zao sio nzuri na sisi huku vijijini tutampa nan situmenunua hawakutuazima,wala hatukupewa hata maelezo yoyote.

hata mimi nilimepatwa na mshangao maana hivi sasa napigiwa simu kutoka nairobi moja kwa moja na wanataka waje nyumbani waishushe sasa na mie niligawa na dish lake; wala sikumbuki kuambiwa kuwa hii package nilikodishwa... majanga haya maana wakija home ndio watavuruga kila kitu !
 
Mbn startv haipatkan kwny madish ya kawaida? Natumia media com 930 decoder
 

usikubali. Kwa nini .ntakuambia baadaye.
 
mbn startv haipatkan kwny madish ya kawaida? Natumia media com 930 decoder
tatizo mara nyingi lipo kwenye madish. Kuna ambayo ni fake. Wenzako mbana wanapata? fake sat dish>>>false focal point>>> impaired signals>>> freezing/no signal. And that is it. Umeona hesabati hiyo?
 
wakuu nauliza hivyo Cccam ni nini na hutumika kwa niaba gani
 
Je wakija kuchukua wanakurudishia pesa ulizonunulia au?

ningekuwa nalo mbona ningewapa hata bure tu mkuu maana mbele ya Qsat na hiyo z..k.. yao naikamatia hapo hapo bila chenga !
 
Kaka kwako nitapata mpeg4 kwa 100,000 mi nipo kijijini mkuu
Nipe sababu zako kaka au tuazimane tusibadilishane.
 
Habari JF. Jana nilifanikiwa kupata package ya Irib kupitia Arabsat 5C@20degree East katika kijiji cha Bukombe wilaya ya Bukombe mkoa wa Geita ambako niko kwa shughuli za kitaaluma.Ilinigharimu Dakika zisizozidi 5kupata iribu.
 

mkuu mbona kama nyuzi sifuri inakuwa north
 
Jamani nauliza TING bado zinapatikana FREE katika AMOS5?
 
Habari JF. Jana nilifanikiwa kupata package ya Irib kupitia Arabsat 5C@20degree East katika kijiji cha Bukombe wilaya ya Bukombe mkoa wa Geita ambako niko kwa shughuli za kitaaluma.Ilinigharimu Dakika zisizozidi 5kupata iribu.

Arselona, Package ya IRIB ina channel gani nzuri? na vipi ni za kiingereza au lugha gani?

Mimi nina dish la ft 10 ambalo mwanzoni nilikuwa nalitumia kupata local channels lakini kwa sasa hizo local nazipata kupitia dish la ft 6. Hebu naomba ushauri nilenge satellite gani yenye channel nzuri inayoweza burudisha moyo wangu?

Na jeje naweza weka lnb ya Ku kwenye dish hilo la chekecheke (Sio la bati - solid)?
 

Hayo madish sio mazuri kwa ku-band na kama Irib inakubali hata katika ft6 iluwe na Receiver yenye uwezo wa ku-edit patch key. Dish lingekuwa solid ningekushauli utegeshe Nilesat 102/201 - Eutelsat 7 West A @ 7° West ungefurahi mwenyewe.
 
Bro me ninalo dish la ft 8 na riciva 2 za mpeg 2 ya arisat na mediacom vip ninaweza kuipata nilesat
 
Bro me ninalo dish la ft 8 na riciva 2 za mpeg 2 ya arisat na mediacom vip ninaweza kuipata nilesat

Utazipata bila shida channel nyingi pale ni Mpeg 2 jitahidi upate na Lnb yenye nguvu. Zakulipia ni chache ni Abudhabi na Aljazeera sport.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…