Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Naomba
pics za lnb
arrangement unavyopata yahsat wakati intelsat 906 ikiwa primary.Nataka
kujaribu Yahsat Kigoma kwa kutumia ft8 bila kubadilisha uelekea wa
zilipo za local.LNB ya stargold tayari nimepata Mwanza.

I am sorry brother, kwenye mpango wa pic kwa kweli nipo mbali na chombo
ambacho naweza kutumia kufanya hivyo lakini nijaribu kukuelekeza tu,
kama ushawahi kufunga lnb ya ku ya NSS 12 @57¤EAST ILIPO K24 YA KENYA,
shuka kidogo kama 1cm utakuwa kwenye degree 53East, cheza hapo unaweza kuwa
Champ.
 
Zile LNB kali za Stargold Fuji zinapatikana Mwanza bei ni kama ifuatavyo;

Single elfu 35,double elfu 40 na Quad (Njia nne) ni elfu 65 pia zinapatikana zile za Inverto Flange.


[h=1][/h]

Je receiver za STR mfano str 4922 zinapatikana?. Nakama zinapatikana ni sh ngapi?
 
Zile LNB kali za Stargold Fuji zinapatikana Mwanza bei ni kama ifuatavyo;

Single elfu 35,double elfu 40 na Quad (Njia nne) ni elfu 65 pia zinapatikana zile za Inverto Flange.


[h=1][/h]

Mkuu naomba unielekeze lilipo duka nikajichukulie moja kesho
 
Star Tv is back with a very promising powerful signal. 60%
 
Haya sasa TP 11785v27500, SES 5 ipo free kwa sasa, enjoy it while it lasts. CHNL ZA SOUTH AFRICA- SABC1,2,3, eTV,KZN, ONE MUSIC,GOSPEL ...nk.
 
Habari JF. Shughuli za kila siku zimenifanya nipotee humo ndani kwani mrefu kidogo. Kupotea kwangu kumenifanya nijirundikie pms nyingi sana. Nyingi ya hizo jumbe zinahusu receivers. Kuhusu rcvas napenda kuwajulisha kuwa AZSKY G6 @TSH200,000 XMAN G8 @TSH220,000 NA STRONG SRT 250,000.
 
Last edited by a moderator:
naomba kuuliza hv channel ya taifa msumbij tunayoipata uelekeo wa hizi local za tanzania itaonyesha kombe la dunia?
 
Habari JF. Shughuli za kila siku zimenifanya nipotee humo ndani kwani mrefu kidogo. Kupotea kwangu kumenifanya nijirundikie pms nyingi sana. Nyingi ya hizo jumbe zinahusu receivers. Kuhusu rcvas napenda kuwajulisha kuwa AZSKY G6 @TSH200,000 XMAN G8 @TSH220,000 NA STRONG SRT 250,000.

safi kaka mzigo kama umefika poa sana so x man na g6 utofauti wake ni nini
 
Last edited by a moderator:
watengenezaji wake ni tofauti na zinatumia servers tofauti. ila zote zinafungua package moja kama zote zipo hewani
 
Ndg zangu wana FTA satellite mm nipo Kondoa nina dish la futi 6 na lnb moja locol chanel napata Tbc 1, Itv, Chnl 10, eatv, capital, Tim, Tvm2 tu. Je, nawezaje pata star tv citizen ntv ubc n.k? ahsante sana kama mtanisaidia
 
Ndg zangu wana FTA satellite mm nipo Kondoa nina dish la futi 6 na lnb moja locol chanel napata Tbc 1, Itv, Chnl 10, eatv, capital, Tim, Tvm2 tu. Je, nawezaje pata star tv citizen ntv ubc n.k? ahsante sana kama mtanisaidia

Unaweza kupata Star tv na CITZEN tu ndizo zilizo rudi kwasasa.
 
Back
Top Bottom