Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Habari wana JF,

Baada ya tathmini ya muda mrefu kuhusu masuala ya Sat tvs na jinsi wtu wanavyohangaika kutwa kucha kutafuta elimu hiyo, nimeona mimi nami kuanzisha mada hii ili niweze kuwafahamisheni kidogo ninachoelewa kuhusu masuala ya sat tv.

Kwa uzi huu utajishughulisha zaidi na sattelites gani zinapatikana maeneo yetu, jinsi ya kuweka sat dishes na sizes zake.

mkuu naomba msaada wako nataka nione kombe la dunia nina dish la ft 8 na rcv DREAM BOX 800 niko dsm
 
Habari JF. Shughuli za kila siku zimenifanya nipotee humo ndani kwani mrefu kidogo. Kupotea kwangu kumenifanya nijirundikie pms nyingi sana. Nyingi ya hizo jumbe zinahusu receivers. Kuhusu rcvas napenda kuwajulisha kuwa AZSKY G6 @TSH200,000 XMAN G8 @TSH220,000 NA STRONG SRT 250,000.
Huu uzi ulikua mtamu kweli kwa FTA
lakini sasa umeharibika sababu ya kuingiza ma g6 nk
 
Last edited by a moderator:
Huu uzi ulikua mtamu kweli kwa FTA
lakini sasa umeharibika sababu ya kuingiza ma g6 nk

Mkuu, Mayu aliyeleta hilo tangazo ndio mwenye huu uzi, halafu yeye anatoa maujaja ya kutumia g6 ktk kufanya mautundu ya kufungua encriptic channels na FTA kupitia mautundu hivyo jamaa yupo sahihi kabisa.
 
Last edited by a moderator:
mkuu naomba msaada wako nataka nione kombe la dunia nina dish la ft 8 na rcv DREAM BOX 800 niko dsm

risiva yako ni mpeg4? je ina uwezo wa kuedit bisskey? kama ina sifa nilizotaja hapo juu unaweza kupata chanels nyingi zinaonyesha kombe la dunia na michezo mbali mbali. chek nami pia karibu ulimwengu wa fta satellite tvs ujifunze mengi!!!! karibu
 
Huu uzi ulikua mtamu kweli kwa FTA
lakini sasa umeharibika sababu ya kuingiza ma g6 nk

hata wewe unaweza kuufanya mzuri (hakuna anayelipwa kwa kuandika humo (jifunze kutokuwa tegemezi sana)
 
risiva yako ni mpeg4? je ina uwezo wa kuedit bisskey? kama ina sifa nilizotaja hapo juu unaweza kupata chanels nyingi zinaonyesha kombe la dunia na michezo mbali mbali. chek nami pia karibu ulimwengu wa fta satellite tvs ujifunze mengi!!!! karibu

Mkuu, pia unaweza kutusaidia ambao tunazo tayari! Tupe maujanja.
 
Huu uzi ulikua mtamu kweli kwa FTA
lakini sasa umeharibika sababu ya kuingiza ma g6 nk

Sasa ndugu yangu bila kupata hizo receiver hiyo FTA utaipataje? Huwezi kupata dukani g6 au srt 4922 hapa tz zaidi ya humu ndani ya uzi
 
Huu uzi ulikua mtamu kweli kwa FTA
lakini sasa umeharibika sababu ya kuingiza ma g6 nk

mayu tumia akili acha utoto bila risiva huwez pata fta chanel hii ni biashara hata ww ruksa kutangaza bidhaa hapa au una hisa sehem fulani au g6 ni kikwazo katika shughuli zako fikiri kabla hujacomment nyama we!!!!!!
 
risiva yako ni mpeg4? je ina uwezo wa kuedit bisskey? kama ina sifa nilizotaja hapo juu unaweza kupata chanels nyingi zinaonyesha kombe la dunia na michezo mbali mbali. chek nami pia karibu ulimwengu wa fta satellite tvs ujifunze mengi!!!! karibu

mkuu cm nikutafute
 
mayu tumia akili acha utoto bila risiva huwez pata fta chanel hii ni biashara hata ww ruksa kutangaza bidhaa hapa au una hisa sehem fulani au g6 ni kikwazo katika shughuli zako fikiri kabla hujacomment nyama we!!!!!!
Unanyege we bwabwa
usiniletee ushoga
 
By Mayu : Huu uzi ulikua mtamu
kweli kwa FTA
lakini sasa umeharibika
sababu ya kuingiza ma
g6 nk

Tusipo chukua hatua sasa ndio uzi unaelekea huko
+dax na +mayu +nendeni mmu, sisi tunaelekea Brazil kupitia fta ,,,mnatuchelewesha...
 
By Mayu : Huu uzi ulikua mtamu
kweli kwa FTA
lakini sasa umeharibika
sababu ya kuingiza ma
g6 nk

Tusipo chukua hatua sasa ndio uzi unaelekea huko
+dax na +mayu +nendeni mmu, sisi tunaelekea Brazil kupitia fta ,,,mnatuchelewesha...

nawashangaa watu wanaleta matusi humu sijui tutafikaje brazil
 
nawashangaa watu wanaleta matusi humu sijui tutafikaje brazil

huyo mayu angekuwa mstaarabu asingepost ujinga wa matusi me mwenyewe mtoto wa uswazi matusi nayajua vilevile so kikubwa kuheshimiana hapa tupo kuelimishana siyo matusi ila kwakuwa yeye ndo kaanza ile kauli mbiu ya akuanzae mmalize ndo nimetumia hapa. sooo naenda brazili huyu MAYU na matusi yake namuacha hapa aendelee kutukana. thats hip hop ni kumchana live bila uwoga ndo falsafa yangu. im done its dax mpalestina.
 
Ustaharabu ni kuvumiliana na si kutukanana, tujaribu kuheshimu mawazo ya mtu hata kama hukubaliani nayo. Hakuna haja ya kumtusi mtu usiyemuona huo ni woga, na udhaifu. Mwache mtu atoe mawazo yake, na msahihishe ama muelekeze kwa hekima.
 
Back
Top Bottom