Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,368
Canal 16 hiyo iko scrambled unaitaji labda CCcamkwenye hiyo eutalsat 16e zipo chanel zipi?maana kuna nilizo zipata ambazo zote hakuna za English hata moja ambazo ni canal 1 mara canal 2!!!
Canal 16 hiyo iko scrambled unaitaji labda CCcam
hizo canal nazipata ila tatizo zipo kwa lugha ya kiharabu tu!
ila best mbona foot print inaonesha ipo africa nzima iweje nilazima utumie Dish la ft8 na siyo ft6?
Ukubwa wa dish unategemea na nguvu inayotumika kurusha hiyo channel.Kwa mfano ITV inapatikana kwa ungo wa ft6 lakini UBC ambayo iko pale ilipo ITV kuipata lazima utumie ungo wa ft8 wakati mwingine mpaka ft10 wakipunguza nguvu.Kwa hiyo footprint pekee haiwezi kukupa ukubwa wa dish la kutumia.
Emu tueleweshe kitu gani special kipo humo ambacho ni unique ukilinganisha na STB nyungine na ujaribu kutushawishi tukazifaidi na sisi[emoji41]Wachina wameturahisishia mambo ila upande mwingine ni tabu tupu!!nina recever ya Wiztech 8010 hd classic yani ni bonge la mtama ili nimeligundua pale nilipo jaribu kuinstalk famware nimadudu matupu!
Jaman msaada wa jinsi ya kuipata yahsat@52.5e nipo tanga
K2boo uelekeo pleaz
Ft6 ni shida tafuta offset f4
Hivi pale Nalesat zile station za Mbc zinapatikana make nimejaribu na kujaribu imeshindikana!Hiyo sat beam yake iko mbali so offset ndo mpango ila hata kwa ft6 utaipata sema inataka msuli na ukomavu