kingdavidtheone
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 247
- 28
Dish ft6 ntaweza pata nilesat?
unapata vizuri tu ila lazima utumie Ku ya fuji au samson mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dish ft6 ntaweza pata nilesat?
mkuu hiyo beam kwa mbeya inafika au ni dar .na mwanza
Sorry ni 26 05 82 AD 05 02 81 88
sasa katika hizi picha mbili picha ya kwanza ni kwamba nikibrowse Eutalsat 7a inaonekana hiyo ila nikisach kwa receiver yangu inakuja bila hayo majina yao halisi sasa nashindwa kujua Bein sport ni ipi hapo?
zote ambazo hazipo scramble nazipata clear mzazi !!
Receiver unayotumia aina gani?
Wana JF nifanyeje ku update Receiver ya wiztech 8010 HD Classic ili iwe na uwezo wa ku edit Biss keys
Nami natumia. Wiztech -wiz 999HD ni dvbs2 nahtaji jua jinsi ya kupdate hiyo decoder ila pia sipati local channel tangu. Baada ya pasaka ilianza itv ,capital,eatv nw zote but sometime tbc yaonesha mda mwingine inakataa ila channel za nje fresh. Tatzo ni nini haswa?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums