Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Nasikia continental imerudi hewani kwenye ABS 3 @3W please confirm mi nimesafiri kidogo na vipi kuhusu sauti na picha ku freeze bado lipo?

Comfirmed it works good no kuganda sasa ni real hd receiver lazima iwe mpeg 4 kwa mpeg 2 haiziwezi tena hakika wameboresha na zimeongezeka channels
 
Nauza invero black ultra single, Tanzania tu
 

Attachments

  • 1450090566952.jpg
    12 KB · Views: 237
naulizia kuhusu nelsat 7.0w kwa tz inapatikana katika dishi la futi ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…