Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipo vingi hela yako tu vinaitwa sat finderdish za TV mwanzo nilikuwa na wasaidia kuset channel kwa frequency manual , ila baada ya star times waka acha ,sasa wanataka kurudi tena na napata tabu ya frequecy za local channel na za nnje, je naweza pata kifaa ambacho nitakuwa napanda nacho juu kwenye dish na kuset cheki channel na kuliset vizuri bila yakushuka na kuset kwenye decoder je ni Tsh ngapi?
Shukran Mkuu, nimelipata, mbona group lina watu wanne tu, na walioomba kuungwa ni wengisasa basi kama hujawa added ktk group la fta(whatsapp) sasa utaweza kujiadd mwenyewe kwa kubonyeza link hii hapa https://chat.whatsapp.com/0zs12f5MazXIGeeMDQ9fqu
Ilisolokobwe ameweka link hiyo hapo juu, ji add mwenyeweNaomba kuungwa group la FTA 0756324273
Wakuu mpooo!kumepoa sana umu!
Naomba kwa aliye tumia anipe taarifa juu ya hii receiver kwamba ina fanyaje kazi na ubora wake!View attachment 398957wakuu vipi kuhusu iki kitu ni chaukweli?
Mimi naitumia. so far so good. Naitumia hasa kwa ajili ya kufungulia channels za powervu,yenyewe inafanya autoroll.Naomba kwa aliye tumia anipe taarifa juu ya hii receiver kwamba ina fanyaje kazi na ubora wake!
Ok kwa hiyo inafanya kazi vizuri?na vipi naweza je kujua original na feki?Mimi naitumia. so far so good. Naitumia hasa kwa ajili ya kufungulia channels za powervu,yenyewe inafanya autoroll.
Ilikua zamani miaka iliyopita, kuanzia mwaka jana(2014) mwezi kama wa 8 huduma hiyo ikawa sio ya uhakikawakuu, juzi pale kariakoo niliona decoder inayotumia laini ya simu kushika channel, na muuzaji alisema unaweka hata jero na unaweza angalia kwa takriban wiki moja. Naombeni ushauri kwa aliyewahi kutumia decoder hizi, nataka nikainunue.
Ni nzuri kwa mfumo wa powervu pale 68.5e,66e,57e hata 76.5e,kariakoo zinauzwa 100,000 tu, ukipigwa sana 110,000Naomba kwa aliye tumia anipe taarifa juu ya hii receiver kwamba ina fanyaje kazi na ubora wake!
Ni nzuri ila wametoa kubwa take Ndio kiwango inaitwa freesat angel ina android v 5.0 pia pre installed Kodi v16.0View attachment 398957wakuu vipi kuhusu iki kitu ni chaukweli?
Ni nzuri ila wametoa kubwa take Ndio kiwango inaitwa freesat angel ina android v 5.0 pia pre installed Kodi v16.0
Mkuu na hii v7 ina play store? Kama v8 unajua sijaitumia ila naona specifications kwenye internet sijui hata kama na etv Africa inafunguka ni ipi ile ya Intelsat 68' au nyingine??Hii ni android box hawa wanazo kubwa freesat v7 combo pia v8 Gold hii nayo pia ni combo ki ujumla hawa jamaa vitu vyao viko sawa kwa powervu ni autollol za ukweli picha nzuri codec za kisasa pia ni standberg enabled zina fungua etv africa ambapo decoda nyingi hazifungui
Mkuu na hii v7 ina play store? Kama v8 unajua sijaitumia ila naona specifications kwenye internet sijui hata kama na etv Africa inafunguka ni ipi ile ya Intelsat 68' au nyingine??