Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,245
Kwa hiyo receiver utapata channels chache maana nyingi kwa sasa zipokatika mfumo was mpeg4, na ulikuwa unataka channels zipi na una dish laze gani
1: local channels zote
2: sport channels.. hasa zinazoenesha epl, la liga na bundersliga
3: movies channels.....
4: entertainment channels... Ile unaweza angalia wwe, musics, nk