Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo.zote zina shimo la smartcard. Huoni kwa 7bu smartcard slot imefichwa kama ya g6
unatakiwa kuwa na net ya 3g/2g kutegemea na aina ya ac.
ndiyo.
Mkuu ufafanuzi kidogo hapo kwenye g6 na smart card .Mimi nilijaribu abudhabi sport smart card haikusomwa kabisa je tatizo lilikuwa nn labda?
Kwamimi navyo fahamu kuna kadi zilizo olewa na ambazo Azijaolewa iyo ya abudhabi imeolea n kwaajili ya dkoda yake 2 ya humax co kwingine Aljazeeraspot ndo haijaolewa
NTV Kenya,QTV,KTN,Family TV1, Family TV2,Kass TV ni FTA katika satellite ya NSS12( 57E) ilipokuwa kbc tp 11025H11429 receiver lazima iwe MPEG4.
sio 15 tu ni zaidi ya 40 kama unatumia dish la cm 90
NTV Kenya,QTV,KTN,Family TV1, Family TV2,Kass TV ni FTA katika satellite ya NSS12( 57E) ilipokuwa kbc tp 11025H11429 receiver lazima iwe MPEG4.
Katika pitapta zangu hum ndan ya jf nimekutana na we ukielezea juu ya Zuku.Swali langu ni kujua hizo channel ni kwa recver ya Zuku yenyewe au recver tofauti? tupe maujanja hayo mkubwa.