Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Habari
ndugu bonykaaya,

Unaweza pata NatGeo Gold kwenya Africasat-1A
@ 46° East >>>>National
Geographic Channel - Videos, TV Shows & Photos - Sub-Saharan Africa
Gold


Prime focus dish ya 1.8 meter yatosha kupata hi satellite.

Africasat-1A @ 46° East Footprint

bandmapcband7.png



NatGeo Gold iko frequency 3730 V DVB-S2 SR 30000

Kama Astrovox receiver yako iko
DVB-S2

compliant

, utapa hi frequency.

Tena Astrovox receiver iwe nauwezo wakufungua Biss Key kwani hi chaneli
iko coded under biss.

Utapa Biss key Ya NatGeo Gold kwenye link>>>>
Key-Sat: Biss


Mimi natumia Strong 4922 HD receiver>>>

Picha za NatGeo Gold>>>>

10989238014_573ee12702.jpg


10989233784_67bd9298ed_z.jpg


Tena

kwenye hiyo frequency kuna channel kutoka Africa kusini inaitwa GLOW
TV.

10989174746_739a5defe4_z.jpg



Pamoja

Ndugu.

mkuu funguka zaid, vp hamna limitation ya beam n mkoa wowote unaweza
ipata hapa tz? vp lnb unatmia yoyote? je ili uipate nilazima iwe main, yaan
bila kubebanisha lnbf?
 
Mkuu na wanaotumia WIZTECH 999 wanaweza faidi hiyo raha.Kama ndio tupe somo kidogo kaka.
 
Je lnb with 0.3 noise reduction can be of use?

Sijawahi kufanikiwa ki lock Nile sat kwa 0.3 !! Lakini nisikukatishe tamaa ,for some reason manufactures hawalinangani katika vipimo , inaweza ikawa ni 0.3 kutoka kwa decent brand ,na ikai-out perform 0.1 db ya brand nyingine .. You can still chance ..
 
Sijawahi kufanikiwa ki lock
Nile sat kwa 0.3 !! Lakini nisikukatishe tamaa ,for some reason
manufactures hawalinangani katika vipimo , inaweza ikawa ni 0.3 kutoka
kwa decent brand ,na ikai-out perform 0.1 db ya brand nyingine .. You
can still chance ..
tried with a 0.1 Fuji and didn't hit the green on this sat but only ses 5 all the way and all de time, i don't know where i might 've messed up. More elaboration please!
 
tried with a 0.1 Fuji and didn't hit the green on this sat but only ses 5 all the way and all de time, i don't know where i might 've messed up. More elaboration please!

Oh no !! Hujakosea ,Hata mimi fuji 0.1 db ilikataa ! Wiztech 0.1 pia haikulock, Nimefatikiwa ku lock nilesat kwa lnb ya startrack 0.2 db quite normal lnb and priced low "10000 tshs".😀 Unajua hapo tunafanya fringe satelite receptions , very trickier than your ordinary dish settings , badilisha lnb , unfortunately duka nililonunua hiyo lnb haliuzi tena bidhaa za satelite tv, ningekusaidia kuipata!
 
Wale waliokuwa wanapata free package ya TING kwa sasa wameifungia
Habari zenu watazamaji kupitia dikoda ya TING? Kwa muda kama mwezi saba na, mitambo yetu iliachwa wazi, na wote wameangalia BURE bila malipo ya mwezi yeyote.

Kwa sasa kwa wale ambayo wana dikoda ya AAL 3, tafadhali lipeni malipo ya mwezi ili kuepuka kukatwa matangazo. Kumbuka ni system ya automatik, na sio kwamba mtu amekatwa moja moja. Kama mtandao ya simu inakatwa ikiwa malipo imeshisha!. Tunaamini umetuelewa.

Please kama umesha lipa, utujulishe kupitia 'inbox' , jina kamili, mkoa, namba ya simu, namba ya dikoda na uthibitisho ya M-pesa 800800 au benki.

Tunawatakia watazamaji mwema!

Na kwa wengine wanaotuona BURE kupitia dikoda ingeni, hamtatupata tena. Inabidi kutafuta dikoda ya TING! Bora Kuliko yenye channel zaidi ya 70+.

Karibu moja, karibu wote!
 
Wale waliokuwa wanapata free package ya TING kwa sasa wameifungia
Habari zenu watazamaji kupitia dikoda ya TING? Kwa muda kama mwezi saba na, mitambo yetu iliachwa wazi, na wote wameangalia BURE bila malipo ya mwezi yeyote.

Kwa sasa kwa wale ambayo wana dikoda ya AAL 3, tafadhali lipeni malipo ya mwezi ili kuepuka kukatwa matangazo. Kumbuka ni system ya automatik, na sio kwamba mtu amekatwa moja moja. Kama mtandao ya simu inakatwa ikiwa malipo imeshisha!. Tunaamini umetuelewa.

Please kama umesha lipa, utujulishe kupitia 'inbox' , jina kamili, mkoa, namba ya simu, namba ya dikoda na uthibitisho ya M-pesa 800800 au benki.

Tunawatakia watazamaji mwema!

Na kwa wengine wanaotuona BURE kupitia dikoda ingeni, hamtatupata tena. Inabidi kutafuta dikoda ya TING! Bora Kuliko yenye channel zaidi ya 70+.

Karibu moja, karibu wote!
blah blah nyingi watu tunakula bure package yenu..jidanganyeni tu kwamba hatuzipati tena.....
 
Habari ndugu bonykaaya,

Unaweza pata NatGeo Gold kwenya Africasat-1A @ 46° East >>>>National Geographic Channel - Videos, TV Shows & Photos - Sub-Saharan Africa Gold

Prime focus dish ya 1.8 meter yatosha kupata hi satellite.

Africasat-1A @ 46° East Footprint

bandmapcband7.png



NatGeo Gold iko frequency 3730 V DVB-S2 SR 30000

Kama Astrovox receiver yako iko DVB-S2 compliant , utapa hi frequency.

Tena Astrovox receiver iwe nauwezo wakufungua Biss Key kwani hi chaneli iko coded under biss.

Utapa Biss key Ya NatGeo Gold kwenye link>>>> Key-Sat: Biss


Mimi natumia Strong 4922 HD receiver>>>

Picha za NatGeo Gold>>>>

10989238014_573ee12702.jpg


10989233784_67bd9298ed_z.jpg


Tena kwenye hiyo frequency kuna channel kutoka Africa kusini inaitwa GLOW TV.

10989174746_739a5defe4_z.jpg



Pamoja Ndugu.

bro hy sat umeipata idman
 
KWA WALE AMBAO MPO WENYE FB KUNA GROUP LIMEANZISHWA LA Ulimwengu wa fta natvs.Mnakaribishwa Admin wa group ni Arselona na godwill kilangi
 
Kungu1 nashukuru,na je unaposema dvb s2 compliant unamaanisha nini?na pia ninavyojua kuna receiver nyingi zinafaa kuedit biss key lakini kwenye hii astrovox yangu cjaona sasa sijui itakuwa na shortcut key,Astrovox Vsr 8900,kwel nimeona position ya nilesat z same kama ilivyoonyeshwa hapo
 
Wenyeji wahum ndan naomba ushauri wenu,kunamtu ana recver aina ya WIZTECH 999 haitumii kwan aliyeset alimpa dish la ZUKU chanel zote zandani ya TZ local channels zilishika,sasahiv zimekata hazshik tena.Mim nna recver ya ZUKU na dish lake ila situmii nilishindwa kulipia na pia ninadish la ft 6 narecver ya MEDIACOM 930 haishiki STARTV,sasa kaniomba tubadilishane recver yaan anipe WIZTECH nimpe ZUKU.Swali langu kwawataalam warecver nikubali au nikatae? Ushauri wenu ni mhim san kwang.
 
Wenyeji wahum ndan naomba ushauri wenu,kunamtu ana recver aina ya WIZTECH 999 haitumii kwan aliyeset alimpa dish la ZUKU chanel zote zandani ya TZ local channel zilishika sasahiv hazshik tena.Mim nna recver ya ZUKU na dish lake ila situmii nilishindwa kulipia na pia ninadish la ft 6 narecver ya MEDIACOM 930 haishiki STARTV,sasa kaniomba tubadilishane recver yaan anipe WIZTECH nimpe ZUKU.Swali langu kwawataalam warecver nikubali au nikatae? Ushauri wenu ni mhim san kwang.

Nakushauri jipange tu ujipatie receiver ya kwako hiyo receiver ya Zuku kwa maelezo yao si mali yako, mimi yangu niliigawa kwa kishoka mmoja hivi sasa sina amani na jamaa wa Zuku wanataka receiver yao maana huyu niliempa pia inaonekana haitumii au pia kaigawa sasa kwenye system yao inaonekana haijalipiwa siku nyingi sasa hawa watu wanasema kama imenishinda natakiwa niirudishe haraka na wanatake hii issue serious sijui tutafikishana wapi !!
 
Sasa wao wanatakatufanyeje kamahuduma zao sio nzuri na sisi huku vijijini tutampa nan situmenunua hawakutuazima,wala hatukupewa hata maelezo yoyote.
 
Back
Top Bottom