Arselona
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 643
- 153
- Thread starter
- #861
Thanks Mkuu ila unaweza kunipa maujanja ili niweze kuangalia TV nyingi zaidi coz niki SEARCH zina kuja CHANNEL kama 130 ila zinazo funguka ni 16 zingine inakuwa SCRAMBLED or WEAK SIGNAL
inbuilt decoder yako ni ya dvb-t. hakuna jinsi utaweza fanya ku unscrimble paytvs. utapata tu fta tvs.