Ulimwengu wa roho ni timilifu

Bado nina safari ndefu ya nikufahamu Mshana jr, ila niaanza kukuelewa kidogo, na kama niko sahihi utakuwa mtu mzuri
Agynasa mshana Jr ni binadamu wa kipekee sana anayeishi maisha ya kumpendeza Mungu.
 
Hizo walishamkasirisha Mungu na zitaondoka baada ya kizazi cha tatu ama cha nne.... Sanasana kinachofanyika ni kupozapoza tu kwa ibada na matambiko ya kawaida...kuendelea kufanya kafara za kuchinja ni sawa na kuzidi kuzilisha zile roho
Mwee sasa kama mimi ni kizazi cha Tatu au Nne ndio nivumilie kuishi katika laana hizo kaka yangu?
 
Hebu twende kwa lughapicha kwa wale ambao walikuwa hawajaelewa wanaweza kupata kitu
Katika haya yote jehanam na masumbuko yote ya dunia vitakosa wateja kweli
 

Attachments

  • ae189e8dd17bffc4bf08fb3cf2a90d18.jpg
    41.1 KB · Views: 61
Mwee sasa kama mimi ni kizazi cha Tatu au Nne ndio nivumilie kuishi katika laana hizo kaka yangu?
Soma tena nilichoandika unaweza kuzipoza tu ili zisilete madhara na usumbufu lakini sio kuzitoa
 
The most perfect state is nothingness.

Any deviation from nothingness is deviation from perfection.

By nothingness, I do not mean a perfect vacuum. I mean the absence of anything, even spacetime (henceforth "space").

Space itself has energy which, per quantum physics, causes virtual particles to be created and destroyed all the time. So in space, even a 100% perfect vacuum will create particles and deviate from a perfect vacuum.

So, when we say nothing is perfect, that is very true.

Nothingness is the most perfect state.
 
Uongo..
 
Mkuu, (Mshana Jr) vipi ile misemo, katika VITABU vya KIROHO inayo chochea, ama kuamsha HARI ya Binaadamu kuamka na kupambana na mazingira yake.

Msemo kama "ASIYE FANYA KAZI NA ASILE".
Tunaona wazi Mungu akituambia/akitukumbusha kwamba, NO EASY COMES.
Hili ni andiko katika INJILI (BIBLE).

Kuna andiko lingine nalo kutoka katika moja ya vitabu vya Dini..unasema "Mwenye kuweka jitihada na jambo atapata"

Vipi katika haya Mkuu (Mshana)
hatuoni kuwa mustakabali/hatima nzima ya MAISHA ya Mwanaadamu iko MIKONONI mwake...!!?

Maana ni kama MUUMBA wa ROHO anajivua MAJUKUMU...

JE..? Kama jamii, tuamini kuwa maisha haya tuliyo nayo Watanzania, ndio tuliyo andikiwa na Mungu Muumba..!?
Hatusitahiki kamwe kupata maisha kama ya China ama Amerika..!!

Naomba ufafanuzi kidogo kwa alie muelewa Mshana.

Kweli atuhitaji kupata MILO mitatu ya uhakika kama wale WALIBYA wa GHADAFI...!!?

Naombeni ufafanuzi...
 
Ni hivi ni lazima tuchochewe kufanya kazi kwakuwa roho husika iko kwenye mwili wa nyama lakini ni kazi halali sio kuanza kwenda kuumiza ama kudhuru wengine ili wewe upate
Tunahimizwa kutafuta elimu kujibiidiisha kwenye kila jambo but in a very positive bila kudisturb uasili...
nazungumzia katika ubaya na wema, na si kwa muktadha wa mzunguko wa maisha ya kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…