Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Juzi hapa nilikuwa nafuatulia mjadala wa China kuipiku Japan kwenye mauzo ya magari ya umeme yaani mchina ndio anaongoza kwa kuuza magari ya umeme Duniani , Jana tna nikakuta mjadala china kuzipiga chini Scania,Volvo,Man kwenye mauzo ya malori na mabasi makubwa hapa Tanzania

Ukweli usewe tu Tabia ya mchina kuja na utamaduni wa kutengeneza bidhaa kulingana na pesa ya mtu ataendelea kuwapiga chini Wazungu kila kona atakuwa Tishio.. We unasema Gari Za china ni kimeo na huna hata bajaji ila matajiri wa Tanzania wamehamia china mnadhani ni wajinga?

Bidhaa za Mzungu zipo vingunguti pale ukiambiwa utoe bilioni moja upewe full scania hapa kati ya watu 100 ni matajiri watatu tu wanaweza kuzimudu sio kwamba watu hawapendi viatu vizuri ila ni kipato chetu kidogo, ndio maana matajiri walikuwa wananunua mitumba ambayo ikifika hapa ni kama kubeti linaweza kudumu au kukusumbua

Ila Tajiri akinunua Howo au Faw mpya ana uhakika wa kulitumia miaka 6 bila usumbufu na pesa inarudi na garama ya manunuzi ni ndogo na ndio maana Mtajiri wamekimbilia china, Kwenye mabasi ndio hivyo hivyo mtu ananunua Yutong kwa bei cheap analitumia kwa miaka 5 na halisumbui pesa ikirudi anazuza , kila Tajiri anapenda Marcopolo ila miliomi 800 nani anazo?
Youtong miaka 5 halisumbui? Oyaa ni kampuni chache tu wamefanikiwa hilo tena kwa kua wana gari nyingi ndo maana kila baada ya miaka 2 wanaleta vifurushi vipya...na Youtong na wenzie wengi unaowaona wana miaka 5 hapa bongo zaidi ya 90% majiko yameshabadilishwa wameweka msweden.
 
Daah tuko burundi hapa juzi natoka kusalimiana na jamaa wa HOWO sisi tuna Scania(Zote za MO) dakika 5 nyingi kuingia wasap group limewaka moto picha zinatumwa wanasema jamaa kapata ajali kuangalia gari imeingia mtaroni kichwa chote hakitamaniki na Jamaa Kafariki on spot mwili hautamaniki..nikabaki kusema tu(Mchina ni mchina tu)yaani ajali ndogo ila outcome gari halitamaniki
Point yangu ni:
HOwo hana stamina ya mzigo mzito.
Hana stability ya safari ndefu
Ni mlaini sana
Yaani usiombe uwe na mzigo mzito kwenye mpando na howo
Mbona unagongwa na Toyo unakufa
 
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana, Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana, Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza.

Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati.
View attachment 2635647View attachment 2635649

Utalinganisha hayo mabox na Scania?

Ni vizuriujue kuwa rahini ni aghali.
 
How haziwezi kuichallenge scania kwa kua kila gari ina ubabe wake

Pigisha howo ruti ndefu for long time uone kama atatotoboa kwa scania
HOWO ikibeba full mzigo kupeleka Congo Kupitia Tunduma, mwenye mzigo ataukuta bondeni kwenye milima ya Kitonga
 
Truck za mchina ni nzuri ila upate genuine spare

Life span zake ni one year

Ila scania ukifunga spea OG miaka 3 inadumu hata hivyo bado ni ghali that why matajiri wanaenda Kwa mchina

Pia gari za mchina Zina mafundi wengi na easy kufanya maintenance
 
GSM yard hap kurasini ni Kuna faw na howo new model (zuchu)

Hizi howo zinapigwa service ni well maintenance Hakuna ilikwishawai guswa injini

Gari ukiitunza haileti chokochoko

Zuchu wanapewa madereva smart wazoefu
 
Kinachofanya ni bei
Hapo ndio mchina anapowazidi wazungu
soko lao si kwa Tanzania na ndio maana uwezo wetu ni kununua mitumba iliyotumika huko wanakoweza kumudu gharama za hizo ndinga.Kuna duka moja maeneo ya kisutu combination plier(koleo) inauzwa 65,000 imeandikwa made in Finland wakati zile tunazozisifu za tronic ni 10,000.
 
Ukijua kiundani viwanda vya magari HOWO anahitaji miaka zaidi ya 50 ndo ajaribu kuanza kupambana na SCANIA.. Traton Group ndo anamiliki SCANIA ila pia Traton na subsidiary ya Volkswagen Group.

Hizi Scania nyingi zinazotumika Tz ni used lakini bado unakuta jiko linaita na kwenye route Ndefu na ngumu ukimuweka mchina hamalizi mwaka anaishia juu ya mawe.

Angalia mfano mwepesi bus zote zinazoenda masafa marefu na njia ngumu unakuta machine wamefunga Scania 113 kwa nini wasipeleke YUTONG? Itaenda speed miezi miwili mitatu ila baada ya hapo inajifia na matatizo yanakuandama kila kukicha, Kiufipi mchina anatachotaka sio kulinda brand wala nini anataka kutengeneza pesa leo apite ivi.. ndo maana utaona gari ni E number ila inafunguliwa jiko kisa inapoteza compresion inaanza kuwekwa sleeve.. wakati huo huo kuna SCANIA usajili AK.. Bado unavuta trailer SUPERDOLL kwenda DRC

Kama unataka kuwa na magari mapya kila wakati na njia laini na fupi basi mchina atakufaa sana ila kama unataka mkataba cheza na SCANIA ukijiweza zaidi sogea kwa ACTROS
 
Ukijua kiundani viwanda vya magari HOWO anahitaji miaka zaidi ya 50 ndo ajaribu kuanza kupambana na SCANIA.. Traton Group ndo anamiliki SCANIA ila pia Traton na subsidiary ya Volkswagen Group.

Hizi Scania nyingi zinazotumika Tz ni used lakini bado unakuta jiko linaita na kwenye route Ndefu na ngumu ukimuweka mchina hamalizi mwaka anaishia juu ya mawe.

Angalia mfano mwepesi bus zote zinazoenda masafa marefu na njia ngumu unakuta machine wamefunga Scania 113 kwa nini wasipeleke YUTONG? Itaenda speed miezi miwili mitatu ila baada ya hapo inajifia na matatizo yanakuandama kila kukicha, Kiufipi mchina anatachotaka sio kulinda brand wala nini anataka kutengeneza pesa leo apite ivi.. ndo maana utaona gari ni E number ila inafunguliwa jiko kisa inapoteza compresion inaanza kuwekwa sleeve.. wakati huo huo kuna SCANIA usajili AK.. Bado unavuta trailer SUPERDOLL kwenda DRC

Kama unataka kuwa na magari mapya kila wakati na njia laini na fupi basi mchina atakufaa sana ila kama unataka mkataba cheza na SCANIA ukijiweza zaidi sogea kwa ACTROS
Kukariri tu 😆mbeya dar kuna chuma za kichina nyingi dar tarime dar bukoba dar geita kote mchina kateka tena hizo 113 nani atumie karne hii kwenye mabasi ndio unakuta soketi za ukutani zipo kwenye basi kwa ajili ya charge, gari mbele ina dumu la maji , malessas, kisbo, nenga, newforce, abood, civito, abc, njombe na sweet africa wote wanaenda mbali na Chinese brands
 
Ukijua kiundani viwanda vya magari HOWO anahitaji miaka zaidi ya 50 ndo ajaribu kuanza kupambana na SCANIA.. Traton Group ndo anamiliki SCANIA ila pia Traton na subsidiary ya Volkswagen Group.

Hizi Scania nyingi zinazotumika Tz ni used lakini bado unakuta jiko linaita na kwenye route Ndefu na ngumu ukimuweka mchina hamalizi mwaka anaishia juu ya mawe.

Angalia mfano mwepesi bus zote zinazoenda masafa marefu na njia ngumu unakuta machine wamefunga Scania 113 kwa nini wasipeleke YUTONG? Itaenda speed miezi miwili mitatu ila baada ya hapo inajifia na matatizo yanakuandama kila kukicha, Kiufipi mchina anatachotaka sio kulinda brand wala nini anataka kutengeneza pesa leo apite ivi.. ndo maana utaona gari ni E number ila inafunguliwa jiko kisa inapoteza compresion inaanza kuwekwa sleeve.. wakati huo huo kuna SCANIA usajili AK.. Bado unavuta trailer SUPERDOLL kwenda DRC

Kama unataka kuwa na magari mapya kila wakati na njia laini na fupi basi mchina atakufaa sana ila kama unataka mkataba cheza na SCANIA ukijiweza zaidi sogea kwa ACTROS
Mbaya zaidi rungwe, sauli si walikuwa na scania vipenzi vyenu haya sasa wako wapi
 
Chuma ya kazi
 

Attachments

  • 1667926422993.jpeg
    1667926422993.jpeg
    204.4 KB · Views: 6
Back
Top Bottom