Billionaire wa Betting
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 1,086
- 2,179
Wako kwenye game kitambo, nakumbuka nikiwa Mbeya, Block T, walikuwa na gereji kitambo sanahivi usangu logistics amewezaje kununua zile brand new. scania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako kwenye game kitambo, nakumbuka nikiwa Mbeya, Block T, walikuwa na gereji kitambo sanahivi usangu logistics amewezaje kununua zile brand new. scania?
Hahahahahhaunasifia sifia gari ambayo baada ya miaka 10 unakuja kuomba msaada ukatolewe maji kiunoni mgongo sijui una matatizo sijui nini na nn mkuu ukiwa serious na maisha yako kwepa sana gari za kichina howo iyo cabin tuu mchana joto kalii usiku baridi kalii unaifananisha vipi na scania? gari za kichina ni uchafu ni vile tu umasikini madereva hawana mbadala familia inataka kula watoto waende shule ila suka inammaliza now faw mpya wanaiita MAYELE sababu ya kutetemeka tetemeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MO kuhusu vyombo vya usafirishaji kiukweli yupo local sana, yani ana ubahiri wa kipumbavu.Sasa huyo mo anayesema kalipa 20b ambazo hazionekani pia unamuamini, muhindi siku zote anaangalia unafuu na si ubora ,dereva ndio utateseka na kufa mapema, mfano howo akimpa gari kwa mkopo nafuu si lazima achukue lakini haimaniishi ni bora kuliko scania, wewe si unaona yale magari sijui mabajaji yake ya kusambazia bidhaa yanapiga makelele na kutoa moshi unadhani yule dereva akizeeka atakuwa na hali gaani
unapozungumzia kazi ngumu na nzito howo ni habari nyingine kabisa mzee ,kigongo cha kupanda na mamba2 scania, howo inapanda na4 au5 wewekinachoamua ni urefu wa safari na uzito wa kazi, how hana cha kuijaribu scania kwenye root ndefu na kazi nzito, peleka howo njia ya sumbawanga mwanza kama hujaacha hela kwa wenye scania, halafu kuita scania bei mnatumia kigezo gani nenda zako france, italy kwa wakulima huko utaikuta imebondeka tu kiana leta bongo wewe ni ugali nyama choma tu
Mda huo wamebeba uzito gani?unapozungumzia kazi ngumu na nzito howo ni habari nyingine kabisa mzee ,kigongo cha kupanda na mamba2 scania, howo inapanda na4 au5 wewe
Well said mkuuunapozungumzia kazi ngumu na nzito howo ni habari nyingine kabisa mzee ,kigongo cha kupanda na mamba2 scania, howo inapanda na4 au5 wewe
Kwani Howo haifiki ARUSHA kutokea Dar au Mwañza kutokea Dar ? Kama inafika basi acha nijilipue kwa Howo ,unapozungumzia kazi ngumu na nzito howo ni habari nyingine kabisa mzee ,kigongo cha kupanda na mamba2 scania, howo inapanda na4 au5 wewe
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana, Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana, Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza.
Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati.
View attachment 2635647View attachment 2635649
Acha uongo mkuuDaah tuko burundi hapa juzi natoka kusalimiana na jamaa wa HOWO sisi tuna Scania(Zote za MO) dakika 5 nyingi kuingia wasap group limewaka moto picha zinatumwa wanasema jamaa kapata ajali kuangalia gari imeingia mtaroni kichwa chote hakitamaniki na Jamaa Kafariki on spot mwili hautamaniki..nikabaki kusema tu(Mchina ni mchina tu)yaani ajali ndogo ila outcome gari halitamaniki
Point yangu ni:
HOwo hana stamina ya mzigo mzito.
Hana stability ya safari ndefu
Ni mlaini sana
Yaani usiombe uwe na mzigo mzito kwenye mpando na howo
Asante mkuu , Niko hapa Namanga, nimetoka kuhesabu Howo zilizobeba tiles from Dar to Nairobi ziko nyingi kuliko Scania . Sinotruck apewe maua yake mkuu.HOWO, Shacman, CNHTC, FAW ndio habari ya mjini
Mkuu chukua maua YAKOUnaangalia faida ya fasta,Marcopolo moja unapata Mchina 2 plus 1 ya mkopo utalipa kwa dhamana ya hizo 2.
Wote level siti scania abiria 60 kwa milion 500, mchina bus tatu abiria 180 kwa hio 500 nauli Mwanza au Mbeya elf 50.
So scania utapata milion 3, mchina utapata milion 9 kwa mtaji wa milion 500.
Mchina atarejesha pesa haraka sana kuliko scania.
Ishu za kukaa na magari miaka hadi mjukuu anarithi ni ya kizamani hata Ulaya hawafanyi.
Gari ikirejesha faida uza ingiza ingine
Ukitaka comfortability chukua mchina ukitaka durability chukua scania.
Kwa transit chukua scania kwa local na tipper chukua mchina,kwa porini anapopita Howo scania apiti.
Kazi zote za site na contract ishu za tipper Mchina the best
113E 'extra heavy duty' za kugis kagera nyingi zilitengenezewa Tamco kibaha miakw ya 90Kipindi hicho 113E au 113H 360hp zilifanya mambo makubwa sana!
Hakukuwa na heka heka za mizani kama siku hizi..
Ipo 113 moja tank(draw bar) pale KUGIS KAGERA, ni kumbukumbu nzuri sana ya gari zilizokuwa na ubavu miaka hiyo.
Natamani mngeziona!!!!
Kwenye biashara ya basi mtu pekee ambaye amepeleka basi za kichina kwa muda mrefu na kwenye njia ngunu nadhani ni super feo wa Ruvuma .Unaangalia faida ya fasta,Marcopolo moja unapata Mchina 2 plus 1 ya mkopo utalipa kwa dhamana ya hizo 2.
Wote level siti scania abiria 60 kwa milion 500, mchina bus tatu abiria 180 kwa hio 500 nauli Mwanza au Mbeya elf 50.
So scania utapata milion 3, mchina utapata milion 9 kwa mtaji wa milion 500.
Mchina atarejesha pesa haraka sana kuliko scania.
Ishu za kukaa na magari miaka hadi mjukuu anarithi ni ya kizamani hata Ulaya hawafanyi.
Gari ikirejesha faida uza ingiza ingine
Ukitaka comfortability chukua mchina ukitaka durability chukua scania.
Kwa transit chukua scania kwa local na tipper chukua mchina,kwa porini anapopita Howo scania apiti.
Kazi zote za site na contract ishu za tipper Mchina the best
Check calculationi Sasa siti 60 na siti 180 wote wanauza sawa kwa siku nani atawahi rudisha pesa haraka.Kwenye biashara ya basi mtu pekee ambaye amepeleka basi za kichina kwa muda mrefu na kwenye njia ngunu nadhani ni super feo wa Ruvuma .
Nadhani ndo alikua mtu wa mwanzo kabisa kutumia yutong
Kama stori za basi za kichina kuwa zinrudisha pesa mapema ,feo asingehamia Scania
Longetivity ya chombo ni moja ya muhimili mkubwa kwenye biashara ya transport.Check calculationi Sasa siti 60 na siti 180 wote wanauza sawa kwa siku nani atawahi rudisha pesa haraka.
Scania ni ishu ya kudumu
Aaah shekhee...wapo ila wachache....Hamna mbongo anaweza kununua brand new Scania , tunaishia tuu kununua hizi mitumba za Scania , ambazo saa ingine kufika Morogoro inazaa , hazina warranty.