Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Kulinganisha Scania na Howo ni kuivunjia heshima Scania. Mchina anakupa kitu famba kwa bei chee. Sawa na hawa wamiliki wa mabasi wanavyokimbilia kwenye Yutong. Ila Scania anabaki kuwa kwenye ulimwengu wa pekee.
 
unasifia sifia gari ambayo baada ya miaka 10 unakuja kuomba msaada ukatolewe maji kiunoni mgongo sijui una matatizo sijui nini na nn mkuu ukiwa serious na maisha yako kwepa sana gari za kichina howo iyo cabin tuu mchana joto kalii usiku baridi kalii unaifananisha vipi na scania? gari za kichina ni uchafu ni vile tu umasikini madereva hawana mbadala familia inataka kula watoto waende shule ila suka inammaliza now faw mpya wanaiita MAYELE sababu ya kutetemeka tetemeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahahha
 
Sasa huyo mo anayesema kalipa 20b ambazo hazionekani pia unamuamini, muhindi siku zote anaangalia unafuu na si ubora ,dereva ndio utateseka na kufa mapema, mfano howo akimpa gari kwa mkopo nafuu si lazima achukue lakini haimaniishi ni bora kuliko scania, wewe si unaona yale magari sijui mabajaji yake ya kusambazia bidhaa yanapiga makelele na kutoa moshi unadhani yule dereva akizeeka atakuwa na hali gaani
MO kuhusu vyombo vya usafirishaji kiukweli yupo local sana, yani ana ubahiri wa kipumbavu.

Unaweza ukawa unasikia sauti ukawa unajiukiza hili power tiller linatafuta nini huku mjini, ukigeuka nyuma unakutana na gari la MO
 
Scania ndo top kwa ruti ndefu achana na mchina yupo kimaslahii zaidi anakuletea bidhaa kutokana n pesa yako
Scania is the top for long transport
 
kinachoamua ni urefu wa safari na uzito wa kazi, how hana cha kuijaribu scania kwenye root ndefu na kazi nzito, peleka howo njia ya sumbawanga mwanza kama hujaacha hela kwa wenye scania, halafu kuita scania bei mnatumia kigezo gani nenda zako france, italy kwa wakulima huko utaikuta imebondeka tu kiana leta bongo wewe ni ugali nyama choma tu
unapozungumzia kazi ngumu na nzito howo ni habari nyingine kabisa mzee ,kigongo cha kupanda na mamba2 scania, howo inapanda na4 au5 wewe
 
unapozungumzia kazi ngumu na nzito howo ni habari nyingine kabisa mzee ,kigongo cha kupanda na mamba2 scania, howo inapanda na4 au5 wewe
Mda huo wamebeba uzito gani?

Toa mifano ya vigongo vitatu tu ambavyo scania inapanda na 2 halafu howo ipande na 5!!!

Halafu uwe specific ni series/model gani ya scania unayoizungumzia..
 
unapozungumzia kazi ngumu na nzito howo ni habari nyingine kabisa mzee ,kigongo cha kupanda na mamba2 scania, howo inapanda na4 au5 wewe
Kwani Howo haifiki ARUSHA kutokea Dar au Mwañza kutokea Dar ? Kama inafika basi acha nijilipue kwa Howo ,
 
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana, Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana, Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza.

Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati.
View attachment 2635647View attachment 2635649

Tatizo analysis umeangalia tu hapa nchini ukadhani dunia yote scania haina soko. You are very very wrong
 
Daah tuko burundi hapa juzi natoka kusalimiana na jamaa wa HOWO sisi tuna Scania(Zote za MO) dakika 5 nyingi kuingia wasap group limewaka moto picha zinatumwa wanasema jamaa kapata ajali kuangalia gari imeingia mtaroni kichwa chote hakitamaniki na Jamaa Kafariki on spot mwili hautamaniki..nikabaki kusema tu(Mchina ni mchina tu)yaani ajali ndogo ila outcome gari halitamaniki
Point yangu ni:
HOwo hana stamina ya mzigo mzito.
Hana stability ya safari ndefu
Ni mlaini sana
Yaani usiombe uwe na mzigo mzito kwenye mpando na howo
Acha uongo mkuu
 
Unaangalia faida ya fasta,Marcopolo moja unapata Mchina 2 plus 1 ya mkopo utalipa kwa dhamana ya hizo 2.
Wote level siti scania abiria 60 kwa milion 500, mchina bus tatu abiria 180 kwa hio 500 nauli Mwanza au Mbeya elf 50.
So scania utapata milion 3, mchina utapata milion 9 kwa mtaji wa milion 500.
Mchina atarejesha pesa haraka sana kuliko scania.
Ishu za kukaa na magari miaka hadi mjukuu anarithi ni ya kizamani hata Ulaya hawafanyi.
Gari ikirejesha faida uza ingiza ingine
Ukitaka comfortability chukua mchina ukitaka durability chukua scania.
Kwa transit chukua scania kwa local na tipper chukua mchina,kwa porini anapopita Howo scania apiti.
Kazi zote za site na contract ishu za tipper Mchina the best
Mkuu chukua maua YAKO
 
Kipindi hicho 113E au 113H 360hp zilifanya mambo makubwa sana!

Hakukuwa na heka heka za mizani kama siku hizi..

Ipo 113 moja tank(draw bar) pale KUGIS KAGERA, ni kumbukumbu nzuri sana ya gari zilizokuwa na ubavu miaka hiyo.

Natamani mngeziona!!!!
113E 'extra heavy duty' za kugis kagera nyingi zilitengenezewa Tamco kibaha miakw ya 90
113H 'heavy duty 'nyingi zilitokea nje ya nchi . 113e na 113h zote zilikuwa ni 6x4 double diff with low range hub reduction, mfumo ambao mchina ndo anatamba nao miaka hii
 
Unaangalia faida ya fasta,Marcopolo moja unapata Mchina 2 plus 1 ya mkopo utalipa kwa dhamana ya hizo 2.
Wote level siti scania abiria 60 kwa milion 500, mchina bus tatu abiria 180 kwa hio 500 nauli Mwanza au Mbeya elf 50.
So scania utapata milion 3, mchina utapata milion 9 kwa mtaji wa milion 500.
Mchina atarejesha pesa haraka sana kuliko scania.
Ishu za kukaa na magari miaka hadi mjukuu anarithi ni ya kizamani hata Ulaya hawafanyi.
Gari ikirejesha faida uza ingiza ingine
Ukitaka comfortability chukua mchina ukitaka durability chukua scania.
Kwa transit chukua scania kwa local na tipper chukua mchina,kwa porini anapopita Howo scania apiti.
Kazi zote za site na contract ishu za tipper Mchina the best
Kwenye biashara ya basi mtu pekee ambaye amepeleka basi za kichina kwa muda mrefu na kwenye njia ngunu nadhani ni super feo wa Ruvuma .
Nadhani ndo alikua mtu wa mwanzo kabisa kutumia yutong
Kama stori za basi za kichina kuwa zinrudisha pesa mapema ,feo asingehamia Scania
 
Kwenye biashara ya basi mtu pekee ambaye amepeleka basi za kichina kwa muda mrefu na kwenye njia ngunu nadhani ni super feo wa Ruvuma .
Nadhani ndo alikua mtu wa mwanzo kabisa kutumia yutong
Kama stori za basi za kichina kuwa zinrudisha pesa mapema ,feo asingehamia Scania
Check calculationi Sasa siti 60 na siti 180 wote wanauza sawa kwa siku nani atawahi rudisha pesa haraka.
Scania ni ishu ya kudumu
 
Back
Top Bottom