Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Naupenda mtindo wa mzungu, anafanya kazi moja kwa uhakika na unamlipa hela ya maana.

Mchina anafanya kazi nyingi kwa kulipua na unamlipa pesa ya madafu.

Mwisho wa siku mzungu anakuwa valuable, bwana. Na mchina anakuwa valueless, mtwana.

Wanapenda kutumia malighafi cheap sana kuunda vitu vyao. Waige hata mjapani basi aargh.
 
Chinese trucks bado sana kufikia Scania, wana safari ndefu ya research and development kufika hatua aliyopo Scania.

Scania anatengeneza trucks kulingana na nature ya kazi,mazingira na safari itayofanya gari. Wengi tunalamikia Scania used za Uingereza sababu mtu anaagiza gari yenye axle configuration ya 6*2 kisha anataka apime na Howo yenye 6*4, au anaagiza yenye 4*2 anakuja fanya modification iwe 6*2 Pale Tabata. Unachukua Scania light duty kisha unaipa kazi ngumu na unalinganisha na Howo 6*4

Trucks sahihi kwa Mazingira yetu Africa ni zenye axle configuration ya 6*4. South Africa hizi truck za Scania zipo kibao za 2000 mpaka 2010 na ushuru unaanzia 24million zinafanya kazi axle zote za nyuma mazingira ya barabara zetu zinamudu vizuri
 
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana , Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana , Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza . Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati View attachment 2635647View attachment 2635649

Ushawahi kujiuliza kwa nn matajiri wengi wanazipenda hizo howo/faw na madereva wao wanapenda scania na benz
 
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana , Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana , Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza . Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati View attachment 2635647View attachment 2635649
Nimeona baadhi ya makampuni wanarudi Scania, Klm express na Sauli huwaambii kitu juu ya Scania
 
Kuna maeneo korofi barabara mbovu SCANIA mende haingii ila HOWO au SHACMAN zinaingia.

Tembelea machimbo ya mchanga yale ya kibabe kama mto Mpigi au Vingunguti ni mwendo wa HOWO, SHACMAN na Mjapan FUSO double(mbawa)

Twende kwenye kazi za dumping kama migodini huwezi kukuta kampuni imewekeza kwenye SCANIA utamkuta Mchina HOWO au SHACMAN.

Njoo kwenye kupiga tipa SCANIA unaweza kuibwaga hata sehemu tambarare HOWO inapiga tipa mpaka tairi za mbele zinanyanyuka na hainguki kama SCANIA

Mchina mnunue mpya akiwa na makaratasi yake ipe service hautajuta. Ni gari za kazi
 
Screenshot_20230527-015030_Chrome.jpg


Hiyo HOWO ikila nundu ni 40m³ na barabara yoyote unapita hata mbovu. Mbebeshe SCANIA mende 40m³ pita naye barabara mbovu lazima itage. SCANIA inataka mkeka hadi kwenye kupiga tipa 😅

Kwa hapa Mchina apewe maua yake
 
Back
Top Bottom