The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
When I grow up I want to be Scania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye industry pekee ambayo mchina atamzidi scania ni kwenye industry ya mchanga na kokoto. Hapo mchina yuko 100%.Kuna maeneo korofi barabara mbovu SCANIA mende haingii ila HOWO au SHACMAN zinaingia.
Tembelea machimbo ya mchanga yale ya kibabe kama mto Mpigi au Vingunguti ni mwendo wa HOWO, SHACMAN na Mjapan FUSO double(mbawa)
Twende kwenye kazi za dumping kama migodini huwezi kukuta kampuni imewekeza kwenye SCANIA utamkuta Mchina HOWO au SHACMAN.
Njoo kwenye kupiga tipa SCANIA unaweza kuibwaga hata sehemu tambarare HOWO inapiga tipa mpaka tairi za mbele zinanyanyuka na hainguki kama SCANIA
Mchina mnunue mpya akiwa na makararasi yake ipe service hautajuta. Ni gari za kazi
Diamond platnumz, amenunua roll Royce atashindwa kununua scania new brand, 😁😃🙌Hamna mbongo anaweza kununua brand new Scania , tunaishia tuu kununua hizi mitumba za Scania , ambazo saa ingine kufika Morogoro inazaa , hazina warranty.
hujui chochote sasa pale scania tanzania daily wanauza gari 0 milleage wanazitoa wapi? hizi nextgen ni mpya zinashushwa deile asas ameshusha kibao last weekHamna mbongo anaweza kununua brand new Scania , tunaishia tuu kununua hizi mitumba za Scania , ambazo saa ingine kufika Morogoro inazaa , hazina warranty.
Sio uchafu mkuu , MO asingenunua , wewe una akili kama MO ?unasifia sifia gari ambayo baada ya miaka 10 unakuja kuomba msaada ukatolewe maji kiunoni mgongo sijui una matatizo sijui nini na nn mkuu ukiwa serious na maisha yako kwepa sana gari za kichina howo iyo cabin tuu mchana joto kalii usiku baridi kalii unaifananisha vipi na scania? gari za kichina ni uchafu ni vile tu umasikini madereva hawana mbadala familia inataka kula watoto waende shule ila suka inammaliza now faw mpya wanaiita MAYELE sababu ya kutetemeka tetemeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umesikia Diamond anataka kuibiwa mafuta na matairi na hao madereva wahuni . Diamond hataki HBP.Diamond platnumz, amenunua roll Royce atashindwa kununua scania new brand, [emoji16][emoji2][emoji119]
Hebu uwaambie kuwa Domo simba, atawaroga watakao mgusa hapo. 😄😁🙌Umesikia Diamond anataka kuibiwa mafuta na matairi na hao madereva wahuni . Diamond hataki HBP.
Wananunua na ziko nyingi tu mpya. Kwa makampuni makubwaHamna mbongo anaweza kununua brand new Scania , tunaishia tuu kununua hizi mitumba za Scania , ambazo saa ingine kufika Morogoro inazaa , hazina warranty.
Bado haijatokea gari ya kishindana na scania ,mfano mdogo tu angalia abood ana scania marcopolo namba A zipo hadi leo zinadunda na mpya bado, angalia mchina namba hata niambie hali yake, scania huwezi kulinganisha gari ya mzungu na ya mchina hata siku mojaMchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana , Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana , Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza . Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati View attachment 2635647View attachment 2635649
Sasa huyo mo anayesema kalipa 20b ambazo hazionekani pia unamuamini, muhindi siku zote anaangalia unafuu na si ubora ,dereva ndio utateseka na kufa mapema, mfano howo akimpa gari kwa mkopo nafuu si lazima achukue lakini haimaniishi ni bora kuliko scania, wewe si unaona yale magari sijui mabajaji yake ya kusambazia bidhaa yanapiga makelele na kutoa moshi unadhani yule dereva akizeeka atakuwa na hali gaaniSio uchafu mkuu , MO asingenunua , wewe una akili kama MO ?
Upo sahihi mkuu waboss wanajiangalia waoSasa huyo mo anayesema kalipa 20b ambazo hazionekani pia unamuamini, muhindi siku zote anaangalia unafuu na si ubora ,dereva ndio utateseka na kufa mapema, mfano howo akimpa gari kwa mkopo nafuu si lazima achukue lakini haimaniishi ni bora kuliko scania, wewe si unaona yale magari sijui mabajaji yake ya kusambazia bidhaa yanapiga makelele na kutoa moshi unadhani yule dereva akizeeka atakuwa na hali gaani
Inawezekana mkuu ni pesa yako tuHivi scania za ufaransa na italy unaweza kubadilisha zikawa righthand kama ni za left
Tatizo mnajadili kwa ujumla mno!! Uzito wa kazi ni upi?kinachoamua ni urefu wa safari na uzito wa kazi, how hana cha kuijaribu scania kwenye root ndefu na kazi nzito, peleka howo njia ya sumbawanga mwanza kama hujaacha hela kwa wenye scania, halafu kuita scania bei mnatumia kigezo gani nenda zako france, italy kwa wakulima huko utaikuta imebondeka tu kiana leta bongo wewe ni ugali nyama choma tu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wachina ni wewe na bei yako!! Kuna Shacman hizo Scania zenu ni takataka. Afu mchina uzuri wake unatoa kitu kwenye karatasi
Dereva wa Howo ndani ya miezi 3 lazima aanze kutumia dawa za maumivuu ya mgongoni.. Akizidisha miaka 2 bhas na kazi kule maeneo inakuwa hamna.. Dakika tu kwishaa...unasifia sifia gari ambayo baada ya miaka 10 unakuja kuomba msaada ukatolewe maji kiunoni mgongo sijui una matatizo sijui nini na nn mkuu ukiwa serious na maisha yako kwepa sana gari za kichina howo iyo cabin tuu mchana joto kalii usiku baridi kalii unaifananisha vipi na scania? gari za kichina ni uchafu ni vile tu umasikini madereva hawana mbadala familia inataka kula watoto waende shule ila suka inammaliza now faw mpya wanaiita MAYELE sababu ya kutetemeka tetemeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gari ya kichina ni kama maji!!Mataniri wenye akili hawanunui How wala faw, mcheki asas,prime fuels,banji, overland etc
Mnailinganisha howo ya kazi na Scania ya kusambazia mikate town..Kwenye industry pekee ambayo mchina atamzidi scania ni kwenye industry ya mchanga na kokoto. Hapo mchina yuko 100%.
Ndio inawezekana!!Hivi scania za ufaransa na italy unaweza kubadilisha zikawa righthand kama ni za left