Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Daah tuko burundi hapa juzi natoka kusalimiana na jamaa wa HOWO sisi tuna Scania(Zote za MO) dakika 5 nyingi kuingia wasap group limewaka moto picha zinatumwa wanasema jamaa kapata ajali kuangalia gari imeingia mtaroni kichwa chote hakitamaniki na Jamaa Kafariki on spot mwili hautamaniki..nikabaki kusema tu(Mchina ni mchina tu)yaani ajali ndogo ila outcome gari halitamaniki
Point yangu ni:
HOwo hana stamina ya mzigo mzito.
Hana stability ya safari ndefu
Ni mlaini sana
Yaani usiombe uwe na mzigo mzito kwenye mpando na howo
Scania ana kifua
 
Uko nyuma sana siku hizi vifaa vyote hunakiriwa kwenye system, iwe tairi au nini.

Mafuta watu wanatumia fuel tracker
Asante mkuu kwa kunitoa tongotongo unafanyaje , nahitaji hiyo kitu boss
 
Daah tuko burundi hapa juzi natoka kusalimiana na jamaa wa HOWO sisi tuna Scania(Zote za MO) dakika 5 nyingi kuingia wasap group limewaka moto picha zinatumwa wanasema jamaa kapata ajali kuangalia gari imeingia mtaroni kichwa chote hakitamaniki na Jamaa Kafariki on spot mwili hautamaniki..nikabaki kusema tu(Mchina ni mchina tu)yaani ajali ndogo ila outcome gari halitamaniki
Point yangu ni:
HOwo hana stamina ya mzigo mzito.
Hana stability ya safari ndefu
Ni mlaini sana
Yaani usiombe uwe na mzigo mzito kwenye mpando na howo
Sasa we Kenge hivi kibini ya scania R na kibini ya HOWO ipi ngumu...??
Nguvu za Scania hazimfikii HOWO
Tembea nchinzima tafuta breakdown ya howo hakuna 1/100
Howo ndo wa kuvuta scania kwenye ajali na breakdown
Au we unaongelea Howo ipi
 
Mchina si janja janja tu ,unategemea nini kwa nchi inayotumia wafungwa kama forced labour ya enzi za utumwa kuzalisha bidhaa ? ,
Exactly. Unaonaa? Na hata wale wafanyakazi ambao sio forced labour bado wanatreatiwa kitwana/kitumwa sana.

Underpayment
Overworking
Poor living condition
Child labour

Sasa hapo unategemea nn? Mtu hayuko passionate na hawezi kuwa passionate na vi repeatitive tasks. Kazi za kijungujiko😥

Tofauti na nchi zinazothamini kazi kama dini mfano German, na Japan. Huku unakuta mfanyakazi anahisi akishiriki kutoa kitu kibovu ni dhambi. Yaani ufanyaji kazi wake anaujumuisha na utu wake. Na analipwa vizuri. Kudharau kazi yake ni kumdharau yeye.

Akitoa kitu kibovu si inatakiwa kiharibiwe! Basi na yeye anajiona kabisa anastahili kuuawa. "Please, kill me your majesty". Bonge la work ethic.

Wakati mchina wanamuoverwork ili alipwe angalau. Mjapani yuko pale anajioverwork yeye binafsi hadi anakufa ili tu atoe kitu bora. Imagine!!....Refer to Karoshi, sijui koroshi IDK. Wachina bhana wawaige jirani zao. Na wabongo tuige Japan na German sio China.
 
Exactly. Unaonaa? Na hata wale wafanyakazi ambao sio forced labour bado wanatreatiwa kitwana/kitumwa sana.

Underpayment
Overworking
Poor living condition
Child labour

Sasa hapo unategemea nn? Mtu hayuko passionate na hawezi kuwa passionate na vi repeatitive tasks. Kazi za kijungujiko[emoji26]

Tofauti na nchi zinazothamini kazi kama dini mfano German, na Japan. Huku unakuta mfanyakazi anahisi akishiriki kutoa kitu kibovu ni dhambi. Yaani ufanyaji kazi wake anaujumuisha na utu wake. Na analipwa vizuri. Kudharau kazi yake ni kumdharau yeye.

Akitoa kitu kibovu si inatakiwa kiharibiwe! Basi na yeye anajiona kabisa anastahili kuuawa. "Please, kill me your majesty". Bonge la work ethic.

Wakati mchina wanamuoverwork ili alipwe angalau. Mjapani yuko pale anajioverwork yeye binafsi hadi anakufa ili tu atoe kitu bora. Imagine!!....Refer to Karoshi, sijui koroshi IDK. Wachina bhana wawaige jirani zao. Na wabongo tuige Japan na German sio China.
Huku kwetu bado sana sana ,
 
Wengi wa waliocomment wamefanya hivo kwa hisia/kuambiwa.
Sasa Ngoja nikupe experience yangu:
Nina logistics company na I started with a fleet of Mercedes Benz (all trucks zilikuwa Benz) mwanzo mambo yalikuwa poa sana ila sasa zilivoanza kusumbua!!! Eeenheee hamna rangi niliacha ona, ikitaga mahali….say kitonga jua hapo ni siku tatu au nne minimum utakaa.
Kwanza utoe fundi mwenye computer Dar (akucharge 300,000 au 350,000) just kwenda tu, afike pale aweke computer (100,000 to 150,000 charge yake) akuambie tatizo now utume sasa spare au hiyo sensor from Dar. All that time gari inasubiri na gharama za ulinzi chakula nk zinaendelea kuhesabu!
Spare parts pia ni gharama sana plus hazipatikani kwa urahisi. Nenda pia kwenye normal service, Benz inakula oil 35-40 liters, filters za Benz ni 50,000 kwa moja, brake pad pale Cfao ni around 600k for atego na 250-300k for Actros au Axor!
Sasa tizama Howo:
Gari halina umeme, umeme wake kama wa pikipiki na linatengezeka popote Hata ukiwa huko makete!
Pili service ni very cheap, filter ni 8,000 tu na oil ya engine ni just 22 liters tu! (20 liters ya oil ni 200,000 mpaka 250,000)
Brake pad nying ni drum na waweza bandika ukiwa popote Tanzania na ni very cheap.
Conclusion:
Kama huna pesa nyingi sana na unataka growth na Upo dynamic kwenye kuchange trucks then mchina is a way to go.

Kama una mtaji mkubwa na wataka longevity kwenye fleet yako then think of European trucks.
 
Wengi wa waliocomment wamefanya hivo kwa hisia/kuambiwa.
Sasa Ngoja nikupe experience yangu:
Nina logistics company na I started with a fleet of Mercedes Benz (all trucks zilikuwa Benz) mwanzo mambo yalikuwa poa sana ila sasa zilivoanza kusumbua!!! Eeenheee hamna rangi niliacha ona, ikitaga mahali….say kitonga jua hapo ni siku tatu au nne minimum utakaa.
Kwanza utoe fundi mwenye computer Dar (akucharge 300,000 au 350,000) just kwenda tu, afike pale aweke computer (100,000 to 150,000 charge yake) akuambie tatizo now utume sasa spare au hiyo sensor from Dar. All that time gari inasubiri na gharama za ulinzi chakula nk zinaendelea kuhesabu!
Spare parts pia ni gharama sana plus hazipatikani kwa urahisi. Nenda pia kwenye normal service, Benz inakula oil 35-40 liters, filters za Benz ni 50,000 kwa moja, brake pad pale Cfao ni around 600k for atego na 250-300k for Actros au Axor!
Sasa tizama Howo:
Gari halina umeme, umeme wake kama wa pikipiki na linatengezeka popote Hata ukiwa huko makete!
Pili service ni very cheap, filter ni 8,000 tu na oil ya engine ni just 22 liters tu! (20 liters ya oil ni 200,000 mpaka 250,000)
Brake pad nying ni drum na waweza bandika ukiwa popote Tanzania na ni very cheap.
Conclusion:
Kama huna pesa nyingi sana na unataka growth na Upo dynamic kwenye kuchange trucks then mchina is a way to go.

Kama una mtaji mkubwa na wataka longevity kwenye fleet yako then think of European trucks.
Safi sana, kila kitu kina mlolongo wa profile yake ya faida na hasara.

Na kipenda roho, hula nyama mbichi.

Ebhana eeeeeh! Sikumbuki mala ya mwisho lini nimechagiza misemo na methali kwenye uandishi wangu. Kitambo sana.
 
View attachment 2636095

Hiyo HOWO ikila nundu ni 40m³ na barabara yoyote unapita hata mbovu. Mbebeshe SCANIA mende 40m³ pita naye barabara mbovu lazima itage. SCANIA inataka mkeka hadi kwenye kupiga tipa 😅

Kwa hapa Mchina apewe maua yake
Walikuja nazo wachina kwenye project za barabara maeneo Fulani zilikua ni kitu na box aise howo zinapiga kazi
 
Back
Top Bottom