Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

unasifia sifia gari ambayo baada ya miaka 10 unakuja kuomba msaada ukatolewe maji kiunoni mgongo sijui una matatizo sijui nini na nn mkuu ukiwa serious na maisha yako kwepa sana gari za kichina howo iyo cabin tuu mchana joto kalii usiku baridi kalii unaifananisha vipi na scania? gari za kichina ni uchafu ni vile tu umasikini madereva hawana mbadala familia inataka kula watoto waende shule ila suka inammaliza now faw mpya wanaiita MAYELE sababu ya kutetemeka tetemeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti mayele😀
 
Miezi 3 apate maumivu ya mgongo?

Hizi ni stori za kusadikika tu! Scania 6x4 yenye leaf spring ikiua siti, mtikisiko wake ni sawa na mchina tu.

Tunayo 114 moja mtikisiko wake ni kama howo tu na kijana anadunda nayo miaka na miaka!

Tatizo hamfatilii haya mambo..

R470 ya SA ikiua busta ya siti, haitofautiani na massey Ferguson..
Trekta😂😂
 
Wewe
Daah tuko burundi hapa juzi natoka kusalimiana na jamaa wa HOWO sisi tuna Scania(Zote za MO) dakika 5 nyingi kuingia wasap group limewaka moto picha zinatumwa wanasema jamaa kapata ajali kuangalia gari imeingia mtaroni kichwa chote hakitamaniki na Jamaa Kafariki on spot mwili hautamaniki..nikabaki kusema tu(Mchina ni mchina tu)yaani ajali ndogo ila outcome gari halitamaniki
Point yangu ni:
HOwo hana stamina ya mzigo mzito.
Hana stability ya safari ndefu
Ni mlaini sana
Yaani usiombe uwe na mzigo mzito kwenye mpando na howo

Wewe sio dereva
 
Wengi wa waliocomment wamefanya hivo kwa hisia/kuambiwa.
Sasa Ngoja nikupe experience yangu:
Nina logistics company na I started with a fleet of Mercedes Benz (all trucks zilikuwa Benz) mwanzo mambo yalikuwa poa sana ila sasa zilivoanza kusumbua!!! Eeenheee hamna rangi niliacha ona, ikitaga mahali….say kitonga jua hapo ni siku tatu au nne minimum utakaa.
Kwanza utoe fundi mwenye computer Dar (akucharge 300,000 au 350,000) just kwenda tu, afike pale aweke computer (100,000 to 150,000 charge yake) akuambie tatizo now utume sasa spare au hiyo sensor from Dar. All that time gari inasubiri na gharama za ulinzi chakula nk zinaendelea kuhesabu!
Spare parts pia ni gharama sana plus hazipatikani kwa urahisi. Nenda pia kwenye normal service, Benz inakula oil 35-40 liters, filters za Benz ni 50,000 kwa moja, brake pad pale Cfao ni around 600k for atego na 250-300k for Actros au Axor!
Sasa tizama Howo:
Gari halina umeme, umeme wake kama wa pikipiki na linatengezeka popote Hata ukiwa huko makete!
Pili service ni very cheap, filter ni 8,000 tu na oil ya engine ni just 22 liters tu! (20 liters ya oil ni 200,000 mpaka 250,000)
Brake pad nying ni drum na waweza bandika ukiwa popote Tanzania na ni very cheap.
Conclusion:
Kama huna pesa nyingi sana na unataka growth na Upo dynamic kwenye kuchange trucks then mchina is a way to go.

Kama una mtaji mkubwa na wataka longevity kwenye fleet yako then think of European trucks.
Wewe umeongea bila ushabiki
 
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana, Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana, Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza.

Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati.
View attachment 2635647View attachment 2635649
Kwahyo mleta mada unataka kusema mzungu kwenye scania anatupiga mchina akwenye howo ana bei nzuri😂😂😂😂😂 nitajie makampuni yanayotumia howo kupeleka mizigo kongo na je? Perfomance yake ni sawa na scania😂😂😂😂😂 umaskini usibadili umuhimu wa vitu fulani. Hizo howo ni gari za sehemu ya kazi na umbali mfupi ila scania muache kama alivyo ni mziki mwingine. Kwa nchinza kiafrika sitashangaa mchina akishika soko ila scania hawez kufa leo wala kesho nchi za ulaya hukuti howo hata siku moja
 
Tukiachana na habari za Howo.. naomba kuuliza wafuatao hela wanapata wapi?; Asas, Gsm, oveland na usangu. Hawa viumbe njia zote wamechafua na malori yao.
kuna wanaume hujawaweka hapo hata overland ni cha mtoto tuu asas levo yake kina super star fowarders mzee overland scania alikuwa ananunua used na mahowo mafaw
 
Mkuu ngoja nikumbie,kuna Volvo alizinunua Azam miaka ya 2008 kama sikosei kwa akili ya route ya Uganda na Rwanda kupeleka unga,zile gari mpaka leo zinapiga KAZI fresh kabisa, sema ingekuwa faw Leo hii zingekuwaje
anazo faw nimechoka balaa na ni trip town [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana, Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana, Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza.

Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati.
View attachment 2635647View attachment 2635649
Unaongelea kuhamisha watu wanaohama? Au kubeba vifusi? Kama ni hivyo basi Howo anashindana na Kurikuu, siyo Scania
 
Back
Top Bottom