Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Nato kamwe hawawezi kuisogelea russia izo zote ni kelele za chura nnje ya majiHawana mkataba na Ukraine, vitaifa vyote vidogo vidogo ambavyo vinatishiwa na Urusi hii ndio fursa ya kuingia NATO, ukiwa humo inakua kama imetiwa fensi fulani hivi, Mrusi hawezi kukosea njia.