Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Ila LC 300 mboni ya kawaida tu, watu wanajua kupamba sio kawaida kwa hio DAB ana nguvu kuliko Chongolo?Dah Hadi siku akili zije zikae sawa hakuna rangi tutakua tumeacha kuona DadeQ.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila LC 300 mboni ya kawaida tu, watu wanajua kupamba sio kawaida kwa hio DAB ana nguvu kuliko Chongolo?Dah Hadi siku akili zije zikae sawa hakuna rangi tutakua tumeacha kuona DadeQ.
Kiufupi Makonda kishamfunika chongolo.View attachment 2794030
Dalili zi wazi, Makonda nguvu yake kwa Samia ni kubwa.
Ushahidi ni hilo gari ( LC 300 ) alilopewa ambalo hata Chongolo hana!
Tuhame kama vipi mwanetu?Nchi ni ya kisenge sana hii
Ini umefanya takwimu ukajua hivo bossAm ovlesss😓😓😓😓. Tanzania am ovless kabisa ndugu zangu.
Hivi kuna ambaye hajui kila nyumba Bongo hii, kuna mtu hamkubali makonda ata angepewa kazi ya kuzibua vyoo serikalini.
What is going on with my Tanzani😿😿😿😿what’s going on🤢
Tunahamia wapi sasa damu yangu?Tuhame kama vipi mwanetu?
Uliza waliokuzunguka, ni njia rahisi tu kufahamu nilichosema. Uliza hapo ulipo.L
Ini umefanya takwimu ukajua hivo boss
Ya ccm waachie ccmDalili zi wazi, Makonda nguvu yake kwa Samia ni kubwa.
Ushahidi ni hilo gari ( LC 300 ) alilopewa ambalo hata Chongolo hana!
Mnama hupaswi kumaliza maneno hatujui fursa zitatupeleka wapNchi ni ya kisenge sana hii