Ulinzi wa Kagame, mbona hana Mwanajeshi nyuma?

Ulinzi wa Kagame, mbona hana Mwanajeshi nyuma?

Wakuu wa itifaki na taaluma ya Usalama salamu kwenu.

Nakuja hapa jukwaani baada ya tafiti fupi nliofanya juu ya ziara mbalimbali za ma Rais Duniani, ya kwamba:

1. Rais mgeni akiwa katika Nchi ya ugenini basi yule mwambata wake mjeshi huwa anarudi nyuma na kupewa mwambata wa Nchi hiyo ya mwenyeji wake hapa naweka kiambatansiho wa ajili ya msisitizo wa hoja. ( Utaona hapa chini Mjeshi wa Zuma yuko nyuma ya Mjeshi wa
Tanzania.
9.jpg


2. Sasa kwa Rais Kagame imekau tofauti sijaona Mjeshi kwakwe awali yeyoye yule. sasa sijajua ni kwa nini?

2-4.jpg



Maswali yangu ni haya!

a) Yule Mjeshi nyuma ana maana gani
b) Kwann Kagame hakua na Mjeshi

NYONGEZA

Kama una uzoefu na Protocal za hizi shughuli tafadhali achia darasa huru.
Hiyo ni sheria za nchi...kwa yule mlinzi mwenye sale za jeshi ni symbol ya kuonyesha a president of this country is a commander in chief as stipulated in a constitution of united republic of Tanzania 1977
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Mkuu nakukubali sa
Phillemon Mikael Kiprotokali ni kwamba Rais yoyote akiwa anafanya Official Visit halafu ni ya siku moja tu huwa hapewi huyo Ceremonial Aide de Camp ila akiwa anafanya State Visit ndipo hutakiwa kuwa au kupewa huyo Ceremonial Aide de Camp. Ziara ya jana ya Rais Kagame ' Kiprotokali ' ilikuwa ni ya Official na siyo ya State. Kuna tofauti kubwa mno ya ' Kiprotokali ' kati ya Official visit na State visit kwa Marais mbalimbali duniani.

Kila la kheri.
Mkuu nakukubali sana kwenye nyanja hizi.
 
Huwa wakuu wote wa nchi wanapoenda nchi zingine kwa ziara rasmi wanapewa ceremonial aide de camp na host country ,nimefuatilia ziara ya jana sioni aide de camp wa TPDF nyuma ya PK as practiced.je ina maana gani ?

Kuna picha nimeweka ya ziara ya mwaka 2016 nyuma ya PK kuna aide de camp wa TPDF na picha zingine ambazo hana aide de camp ni jana .
d5a845acdd5d552d38acdc51a3e60e85.jpg


26ab99014624658f2e0447ed8cc5470a.jpg


9d3ced804a78b914983639a47d893cb1.jpg

Je, Obama alipokuja hapa alipewa mpambe wa TPDF ? Vipi alipokuja Bush naye alipewa mpambe wa TPDF nauliza tu jamani....haya ni mambo ya protokali ...yana maana yake...ila nakumbuka alipokuja Papa John Paul II miaka ile ya 90 mpambe wa Pope alikuwa Major Gaudence Milanzi (sina hakika sana kama wakati huo alikuwa ni Meja au Luteni Kanali) ambaye sasa ni Meja jenerali na ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mali Asili...
 
Sasa huu ndio...ubobezi

Lakini kuna wakuu wengine wa nchi huko...nyuma...walikua official or working visit ie museveni...na...wakachukua aide de camp...wetu ni...ishara ya heshima...tu na.kuonyesha kuaminiana ....na...aide de camp aliyekuja naye anakuwa...tu karibu ..kumuangalia na kumsaidia aide de.camp...wa...host
Hii ya Museveni naomba picha tafadhali.
 
Eti eeeh

Wanaojua...huwa hawaji na...lawama...hata wanaojua bado hujielimisha

Be humble
Asallaleh!

Kwa hiyo kwa kujifanya unajua protikali ya Kagame kutosimamiwa na mwanajeshi mtanzania ndo wapanga shughuli za kitaifa wanajifunza kutoka kwako???

Ama kweli siasa haitakuacha salama.
 
Asallaleh!

Kwa hiyo kwa kujifanya unajua protikali ya Kagame kutosimamiwa na mwanajeshi mtanzania ndo wapanga shughuli za kitaifa wanajifunza kutoka kwako???

Ama kweli siasa haitakuacha salama.
Hapa tunajadiliana
Hatumpangii mtu
Dont take it personal
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Je, Obama alipokuja hapa alipewa mpambe wa TPDF ? Vipi alipokuja Bush naye alipewa mpambe wa TPDF nauliza tu jamani....haya ni mambo ya protokali ...yana maana yake...ila nakumbuka alipokuja Papa John Paul II miaka ile ya 90 mpambe wa Pope alikuwa Major Gaudence Milanzi (sina hakika sana kama wakati huo alikuwa ni Meja au Luteni Kanali) ambaye sasa ni Meja jenerali na ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mali Asili...
Marekani hata akiwa kwao hana aide de camp zaidi ya secret service na Segent on...duty anayebeba " black ball"
Kweli wewe Legend ....old...time ...nakumbuka ujio wa papa alitembelea Dar,moshi ,mwanza na songea kama...nakumbuka
Mimi nilikua Mwanza ....Bugando...
 
Hapa tunajadiliana
Hatumpangii mtu
Dont take it personal
Am worried of you brother. Kama tutaacha mambo yaende kama ulivyofanya really ni tatizo. Huwa hakuna moja kujumlisha moja katika mpangilio wa sherehe na dhifa za kitaifa na kila shughuli ina mpangilio kutokana na mahitajio ya ugeni.

Tukijifanya tunajua kila kitu na kuleta maoni yetu tukiwalazimisha wanaopanga na walioko kwenye ground kufuata tunachofikiri ni tatizo zaidi, tukijifanya kuwa werevu tukaja na mawazo yetu, kisha tusifanye hata utafiti tukayaleta katika jamii eti tunajadiliana sijui kama tutakuwa tunajadiliana maswala sahihi.

Kwanza walioko kwenye ground wanajua kinachoendelea zaidi ya kile tunachofikiri tutajadili. Halafu tumeona tu na kufikiri tuko sahihi tukakimbia kuja hapa kujadili. Tunajadili ili kuwarekebisha watendaji au tunajadili kujifurahisha???


Do I take it personal kuhoji aina ya mjadala uliouanzisha? Je, si kwamba ninajadili kile ambacho wewe unataka tuwaelekeze walioko kwenye upangaji wakati hatujui kulikuwa na conditions zipi wakati wanapanga walichopanga?

Je, ni sahihi kuleta kwenye kadamnasi picha mbili kudhibitisha kuwa kuna kitu kilikosewa au hakiendi sawa? Je, ni kwa vile tuna mfumo fulani wa kuwapokea wageni tunaoufuata na ambao jamii imeaminishwa kisha haukufuatwa ndo ni sababu ya wewe kuuleta hapa tuujadili?
 
Phillemon Mikael Kama hujui protocol ni vyema ukauliza kuliko kukurupukia ushabiki wa kisiasa na kujifanya unajua mambo. Kila tendo la kitaifa lina protokali kutokana na aina ya shughuli.

Kuna wakati Zitto alilalamika makamu wa Rais wetu kupokelewa na waziri huko Kenya kwa sababu tu ya kujifanya anataka kuongea alichokiona na si protokali inavyofanya kazi.

Wewe pia umefanya kama alivyofanya Zitto. Uliza ujibiwe badala ya kuleta uzi usio na utalaam nao kwenye jamii halafu ukajifanya unajua kuliko wanaoshinda wakijishughulisha na hizo kazi.
Huu ndio Mpangilio (formation) rasmi ya aide de camps wakati Ziara ya Kikazi(official or working visit)

Sare: Aide de camps wanavaa sare za kawaida za utawala bila tai na mikono mifupi

Mpangilio: host anakuwa directly nyuma yake ...na aide wake anakuwapo karibu kusaidia

Huu mpangilio...ni maarufu nchi za Commonwealth hasa za Kiafrika ...

2eb20f7ff7565c0723b214cf246b92ca.jpg
 
Back
Top Bottom