Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

Wengi bdo tunaskilizia bdo hazjatiki. Lakini napenda vile kumekua na muamko mkubwa sana kwa vijana wa sasa kujenga mapema na kuhamia kwenye mijengo yao. Mi nadhani ntapiga hata kibarua humo humo saidia fundi ili nipate changamoto mpya..,inshalah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…