dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
30
kibanda lakini
kibanda lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usishangae huku Jf kila mtu kafanikiwa Mkuu 😀😀😀😀Humu kila mtu ana nyumba na alihamia na 20 yrs.
Hongereni
Nilipanga ndugu kwa muda wa miaka miwili. Ila passion yangu ilikuwa ni kuishi kwangu.26 years,aikutqka habari za kupanga.
Aamin.Wengi bdo tunaskilizia bdo hazjatiki. Lakini napenda vile kumekua na muamko mkubwa sana kwa vijana wa sasa kujenga mapema na kuhamia kwenye mijengo yao. Mi nadhani ntapiga hata kibarua humo humo saidia fundi ili nipate changamoto mpya..,inshalah
Aiseee kumbe ndiyo maana yake, yaan ukifanya jambo ambalo watu hawategemei eti wanazusha viza.Nashukuru Mungu nyumba yangu nimeijenga bila mkopo na kuhamia nikiwa na miaka 26. Watu wengi walihoji how possible,wivu chuki viliibuka lakini yote nilimkabidhi Mungu.
Na bado hujala ban 🤣Mods mbwa wewe
35 mkuu kusave sijawahi kila senti ikifika inapitiliza tuu.Hongera sana, Mungu akusaidir
Una umri gani ndugu 🤔
Unatumia mbinu ya savings au vip
Hahahah hivo mkuu, Bongo nyumba ya kwanza tunahamia huku tunaendelea kujenga 😂😂 wengi tiles, fence, mageti, rangi za nje, wengine gypsum zote huwekewa ukiwa unaishi humo humo an, Bila kusahau umeme na maji29 japokuwa nimeezeka upande lakini tayari nishahamia
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app