drink beer save water
Member
- Nov 22, 2014
- 18
- 32
Mwaka 2018, nikiwa na 28 yrs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana kiongozi. Hii eneo n nusu heka? NnMwaka 2018, nikiwa na 28 yrsView attachment 2669599
60mx20mSafi sana kiongozi. Hii eneo n nusu heka? Nn
Just take your time, and you can do it....usiwe na preshaSafi sana kiongozi. Hii eneo n nusu heka? Nn
Nyumba ina ukubwa gani in terms of sqm??Nimehamia mwaka huu nikiwa na miaka 29 nyumba nj kubwa ina room 4 na zote ni room kubwa pia nyumba ina kila kitu sitting room ni kubwa sana sana mpaka sana tena mpka hapa nyumba imekula million 86 na bado inaomba kama million 40 tena ili ikae inavotakiwa nyumba ina tofali 68,500 kuanzia msingi saivi nimeikimbia kwanza nakaagiza gari mana niliona haiishi pia walio design Raman waliniambia kua bila million 130 sitoboi otherwise nigushi ndo itakua chini ya apo
Nimehamia ila saiv naiangalia2 nitacheza nayo tena mwakani ila ningejenga hizi million 40 TU aiseee 2017 ningekua nishahamia , but me nilisubiri niishi nyumba ya ndoto zangu ata gari nimeagiza premio japo haikua lengo ila hesabu zilienda viral ndo mana
All in all sina cha kumlipa mungu kwa hatua hii coz so far nina mashamba na viwanja tena MAKAO MAKUU YA NCHI NA CHAMA
Mpaka ni review tena coz engineering tulipishana kauli mana yeye akawa anafata inavotaka Raman me nikamkatalia mfano sity room alitaka iwe na ukubwa kama wa kwenye Raman nikamwambia noooooo hapana twende sehem kuna sitting room tukaipime ni bonge la sitting room tukaenda akapima na room room zooote nikazipanua ukubwa pia korido zipo mbili nikamwambia ziwi pana zote wapishene watu watatu bila kugusana, pia ilikua na room mbili ambazo sio self nikawambia inatakiwa room moja2 ibaki bila self na pia tulipelekana na kwa mbinde hayo maboresho japo ndan kuna public mbili ila nilitaka me niwe na master pia vyumba viwili viwe self yan mikimaanisha Incase wakija wazazi home kwangu wamalize haja zao chumbani mwao na pia watoto wangu nao wamalize shida zao chumbani mwao, nikapiga na system ya maji moto kote ad public yan me sipendi kulipua mbwai mbwai2Nyumba ina ukubwa gani in terms of sqm??
Sawa Mzee, ila the way unavyoiongelea ukubwa wake na ukija kusema mpk sasa imekula 86m ni kama vile mtu ajenge hivyo halafu apauwe na kuweka grill tu ndo inaweza kucheza hapo, ila kama umeimaliza kwa kufaa kuhamia still 86m ni ndogo sanaa ndo maana tukauliza ukubwa wa nyumba in sqm, pengine unaweza kusema sebule kubwa sana sanaa kumbe hata 40sqm haijafika ila ni ukubwa tu machoni mwako wewe, nyumba kubwa inapimwa kwa ukubwa wa nyumba in terma of sqm, na makadilio ya gharama huwa ni 500K-600K per sqm (@), hapo inajumuisha kila kitu mpaka finishing zote katika highly standard quality.Mpaka ni review tena coz engineering tulipishana kauli mana yeye akawa anafata inavotaka Raman me nikamkatalia mfano sity room alitaka iwe na ukubwa kama wa kwenye Raman nikamwambia noooooo hapana twende sehem kuna sitting room tukaipime ni bonge la sitting room tukaenda akapima na room room zooote nikazipanua ukubwa pia korido zipo mbili nikamwambia ziwi pana zote wapishene watu watatu bila kugusana, pia ilikua na room mbili ambazo sio self nikawambia inatakiwa room moja2 ibaki bila self na pia tulipelekana na kwa mbinde hayo maboresho japo ndan kuna public mbili ila nilitaka me niwe na master pia vyumba viwili viwe self yan mikimaanisha Incase wakija wazazi home kwangu wamalize haja zao chumbani mwao na pia watoto wangu nao wamalize shida zao chumbani mwao, nikapiga na system ya maji moto kote ad public yan me sipendi kulipua mbwai mbwai2
Ndo nikakwambia kua nimeikimbia saiv kwa ilipofikia inatosha2 kuhamia kibishi it means ad mwakan tena nitairudia saiv nifanye mambo mengine ya msingi pia umenipa assignment ya kufukuzia sqm nitaifanya mkuuSawa Mzee, ila the way unavyoiongelea ukubwa wake na ukija kusema mpk sasa imekula 86m ni kama vile mtu ajenge hivyo halafu apauwe na kuweka grill tu ndo inaweza kucheza hapo, ila kama umeimaliza kwa kufaa kuhamia still 86m ni ndogo sanaa ndo maana tukauliza ukubwa wa nyumba in sqm, pengine unaweza kusema sebule kubwa sana sanaa kumbe hata 40sqm haijafika ila ni ukubwa tu machoni mwako wewe, nyumba kubwa inapimwa kwa ukubwa wa nyumba in terma of sqm, na makadilio ya gharama huwa ni 500K-600K per sqm (@), hapo inajumuisha kila kitu mpaka finishing zote katika highly standard quality.
Hongera sana mkuu,Mwaka 2018, nikiwa na 28 yrsView attachment 2669599
Hongera sana, upo vizuri sana an, kwa Umri huo kuwa na utajiri wa zaidi ya 100M, bila shaka upo kitengo muhimu sanaNimehamia mwaka huu nikiwa na miaka 29 nyumba nj kubwa ina room 4 na zote ni room kubwa pia nyumba ina kila kitu sitting room ni kubwa sana sana mpaka sana tena mpka hapa nyumba imekula million 86 na bado inaomba kama million 40 tena ili ikae inavotakiwa nyumba ina tofali 68,500 kuanzia msingi saivi nimeikimbia kwanza nakaagiza gari mana niliona haiishi pia walio design Raman waliniambia kua bila million 130 sitoboi otherwise nigushi ndo itakua chini ya apo
Nimehamia ila saiv naiangalia2 nitacheza nayo tena mwakani ila ningejenga hizi million 40 TU aiseee 2017 ningekua nishahamia , but me nilisubiri niishi nyumba ya ndoto zangu ata gari nimeagiza premio japo haikua lengo ila hesabu zilienda viral ndo mana
All in all sina cha kumlipa mungu kwa hatua hii coz so far nina mashamba na viwanja tena MAKAO MAKUU YA NCHI NA CHAMA
Hii nyumba ipo Nyanda za juu kusini ?Mwaka 2018, nikiwa na 28 yrsView attachment 2669599
Tupambane mkuu, ushaanza ujenzi?Daah mnanitamanisha thanaa aisee
Mdogo mdogo nami siku moja nitapost jf nikiwa home kwangu
Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app