Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

Hii nyumba ipo Nyanda za juu kusini ?
Hii iko Moshi....hapo ilkua kiangazi!! Kipind cha mvua ona picha hii
IMG-20230613-WA0012.jpg
 
Hongera sana, upo vizuri sana an, kwa Umri huo kuwa na utajiri wa zaidi ya 100M, bila shaka upo kitengo muhimu sana
Yeah ni ajira ila ndo ivo ukibahatisha kitengo kizuri inabidi ufanye juu chini kazi yako ili flect na makazi yako yan sehem unayoishi ukimpeleka mtu akuangalie mara 9 bila kukumaliza akiangalia umri na mzigo uliosimama.

Kiufupi me napenda mtu ukifika kwangu ukae kwanza uanze kunihoji nimefanyaje ad imekua iv
 
Mkiweka picha itatusaidia wengine kupata nyumba za ndoto zetu
 
Hongera sana, upo vizuri sana an, kwa Umri huo kuwa na utajiri wa zaidi ya 100M, bila shaka upo kitengo muhimu sana
Pia katika nyumba ya ndoto zako kuna mda inatakiwa uwe mkali mana engineer atakua anakosoa mno mara hii kubwa ya kazi gani, mara sjui itakula eneo kubwa we usijali peleka moto2 af mwisho wa siku anakuja kusema mwenyewe kua kumbe uliona mbali
Me nimepinashana sana na engineer wangu kwanza nilimwelekeza tukaelewena ile naondoka kwenda kazin nikakuta amefanya yafuatayo
Kwanza engineer ali set nyumba yangu akaisogeza mbele akamwaga poda na kamba wakaanza kuchimba msingi me narudi sa nane nikakuta imesogea aisee nilipata moto af nikimuuliza anasema kua ameacha space kubwa nyuma ili badae nije nijenge nyumba za kupanga daaaah
Nikamwambia Mzee me sjawai kuwaza maisha yangu yooooooote kua nitakuja ku share gate na mpangaji yan arudi sa 10 af tumfungulie gate nikauvuruga mchoro nikampa tena maelekezo ya mwisho pamoja na kuongeza vipimo japo alisema kama vipimo vimeongezeka basi nimuongeze pesa ya ujenzi nikasema sawa ndo ikawa mambo super


Ata kumwaga jamvi nilipiga ratio ya mkoloni ndo mana jamvi pekee ilikula mifuko 100+


Kikubwa malengo yako yaweke vizuri2 me nimeajiriwa ni kiwa kama form 4 japo nilipata kazi nikiwa na miaka 19 ila nikaanza kupiga shule saivi namalizia bachelor degree mwez wa 7 na mtoto wa kaza saiv ameanza shule na pia nasaidia kusomesha ndugu ko ukiwa na malengo aisee maisha mepesi mno
Epuka makundi ya watu wa kukatishana tamaa pia usikose biashara ya kukuingizia kipato ata kama ukiwa na kazi


OVER
 
24 niliondoka home na kuanza kupambana...36 nilihamia kwenye nyumba yangu ya Kwanza...hadi sasa Nina nyumba sita!!!
Ooooh hongera, una umri gani kwa sasa ?
 
Nikiwa na miak 23 nilihamia kwangu hadi sasa nina miaka 29 nina nyumba 7...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] shikamoo Jf
Hahahaah kijana, huu uzi sio wa wachovu, watu wamewahi sana kuhamia kwao, naona kikubwa tupambane sanaaaa
 
Pia katika nyumba ya ndoto zako kuna mda inatakiwa uwe mkali mana engineer atakua anakosoa mno mara hii kubwa ya kazi gani, mara sjui itakula eneo kubwa we usijali peleka moto2 af mwisho wa siku anakuja kusema mwenyewe kua kumbe uliona mbali
Me nimepinashana sana na engineer wangu kwanza nilimwelekeza tukaelewena ile naondoka kwenda kazin nikakuta amefanya yafuatayo
Kwanza engineer ali set nyumba yangu akaisogeza mbele akamwaga poda na kamba wakaanza kuchimba msingi me narudi sa nane nikakuta imesogea aisee nilipata moto af nikimuuliza anasema kua ameacha space kubwa nyuma ili badae nije nijenge nyumba za kupanga daaaah
Nikamwambia Mzee me sjawai kuwaza maisha yangu yooooooote kua nitakuja ku share gate na mpangaji yan arudi sa 10 af tumfungulie gate nikauvuruga mchoro nikampa tena maelekezo ya mwisho pamoja na kuongeza vipimo japo alisema kama vipimo vimeongezeka basi nimuongeze pesa ya ujenzi nikasema sawa ndo ikawa mambo super


Ata kumwaga jamvi nilipiga ratio ya mkoloni ndo mana jamvi pekee ilikula mifuko 100+


Kikubwa malengo yako yaweke vizuri2 me nimeajiriwa ni kiwa kama form 4 japo nilipata kazi nikiwa na miaka 19 ila nikaanza kupiga shule saivi namalizia bachelor degree mwez wa 7 na mtoto wa kaza saiv ameanza shule na pia nasaidia kusomesha ndugu ko ukiwa na malengo aisee maisha mepesi mno
Epuka makundi ya watu wa kukatishana tamaa pia usikose biashara ya kukuingizia kipato ata kama ukiwa na kazi


OVER
Ahaaaa you are lucky
 
Back
Top Bottom