Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante MkuuMapema kabisa, hongera sana mkuu,
Yeah life begins at 40 aiseee
Sina haja ya kuja huko asee, ila uelewe tu hakuna nyumba ya vyumba vinne inajengwa kwa tofali 68500 (elf sitini na nane na mia tano).Nimesema kuanzia msingi then me sina haja ya ku fake maisha sjawai kuwaza ata siku moja ndo mana me hua mvivu mno kubishana na mtu
Ila kama upo Dom ni PM uje home
UongoNyumba yangu ya kwanza kabisa kujenga, nilihamia ninikwa na umri wa miaka 26
Ukweli ni upi mkuu..🤔Uongo
Ni 6850 kaka sorry ni typing errorsSina haja ya kuja huko asee, ila uelewe tu hakuna nyumba ya vyumba vinne inajengwa kwa tofali 68500 (elf sitini na nane na mia tano).
Hiyo ni idadi ya tofali za kujengea project kubwa kama ikulu ya Chamwino. Labda utueleze, ni tofali hizi hizi za kawaida au ni tofali size ya biscuit?
Tulia basi mbona kelele sana we si uweke yako pia.We jamaa!
Nyumba iko na tofali 68500?
Hebu tuheshimiane basi, JF kuna watu wazima ujue!
Ni tofali za aina gani hizi?
Pia hapo ilikua typing error ni 6,850Tulia basi mbona kelele sana we si uweke yako pia.
Niuseme hapahapa kwa siredi?Ukweli ni upi mkuu..[emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] RM ndio nani tena jamani kumbe hata bongo yupo...mie namjua NamjoonKujenga na kuhamia kwako inategemea umezaliwa familia gani....yenye kipato na uchumi gani....mtazamo wako wa kimaisha ni upi.....
Mathalani yule ndugu yetu marehemu RM....ALIKUWA anaishi kwao mpaka umauti unamfika...49yrs....
Ila ujue hakuwa ni MASIKINI wala FUKARA....[emoji1787][emoji1787]
Kama unaona kelele kwenye maandishi, hilo ni tatizo lako binafsi. Sipangiwi cha kuandika.Tulia basi mbona kelele sana we si uweke yako pia.
Kwa kifupi kila mtu ana njia yake.Wasalaam ndugu zangu wa Tanzania wote wa bara na visiwani.
Napenda kujua kwa wale ambao tayari mshajenga na kuhamia kwenu, je, ulifanikiwa kuhamia kwako ukiwa na umri gani? Au nyumba yako yako ya kwanza ulikamilisha ukiwa na umri gani?
Karibu kwa majibu, mimi bado sijajenga.
Jamaa kaongeza chumvi, hyo idadi ni kubwa sanaSina haja ya kuja huko asee, ila uelewe tu hakuna nyumba ya vyumba vinne inajengwa kwa tofali 68500 (elf sitini na nane na mia tano).
Hiyo ni idadi ya tofali za kujengea project kubwa kama ikulu ya Chamwino. Labda utueleze, ni tofali hizi hizi za kawaida au ni tofali size ya biscuit?
Ni kwa harakati za mtaani mkuu, sio kuajiriwa na mtuMkuu hongera, uliwahi sana, Umri huo wengi bado wanaomba ajira, wew ulijiajiri au 🤔
Kama ni nyumba ya chini,kuna high possibility ukakaa humo humo mpaka ukafia hapo bila kua na gorofa30 years nilihamia kwangu aiseee kwa mbinde sanaaa nikikumbukaa nilivyojenga noumaaa sana