Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

Kama ni nyumba ya chini,kuna high possibility ukakaa humo humo mpaka ukafia hapo bila kua na gorofa

Chukua takwimu,wote waliowahi kujenga nyumba za chini ku-transition to gorofa ni ngumu kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano

Awe na hela au asiwe nazo,ni ngumu kupita maelezo maana ile nyumba yake ya mwanzo imegeuka yeye na nyumba ni yeye,hawezi hama hata awe na hela regardless

Jamaa yangu alichelewa kujenga ila finally kajenga gorofa to way much luxurious with budget nearly 1Bilion..

Sasa wenzake waliowahi kujenga vijumba vyao vya chini huko uswahilini viwanja vya milioni sasa hivi are having tough times to upgrade,no money,no power,umri umeenda,etc!

I see this contest funny
Huo ni mtazamo wako mkuu hujui dream yangu ni nn stay silence na stress zako za maisha fala wewe
 
Huo ni mtazamo wako mkuu hujui dream yangu ni nn stay silence na stress zako za maisha fala wewe
Hahahaaaa

Nilijua utapaniki tu sababu hujanielewa....

Kwanza sijui nyumbani yako ni ya aina gani,huenda ni ghorofa...mimi nimetoa observations tu wala sijakuzungumzia wewe generally

Stress kila mwanadamu anazo,nothing new unachosema here!
 
Hahahaaaa

Nilijua utapaniki tu sababu hujanielewa....

Kwanza sijui nyumbani yako ni ya aina gani,huenda ni ghorofa...mimi nimetoa observations tu wala sijakuzungumzia wewe generally

Stress kila mwanadamu anazo,nothing new unachosema here!
Stress haziko sawa bro... Tunazidiana na ambition vilevile xo kama muungwana ulitakiwa kutoa ushauri tu kuwa usiridhikee kaza Buti but you make predictions za maisha ya mtu generally why bro
 
Stress haziko sawa bro... Tunazidiana na ambition vilevile xo kama muungwana ulitakiwa kutoa ushauri tu kuwa usiridhikee kaza Buti but you make predictions za maisha ya mtu generally why bro
Hahaaaa

Ukicheck mzee my post was not shot at you....

Pale nilitoa takwimu tu generally tulizonazo kwenye jamii,nothing malicious

Wala haikua wewe,coz infact sikujua wala nyumba yako ni ya aina gani,nilisema kama ni ya chini,ila infact sijui ni ipi

Nothing biggie mzee
 
At 28 nilijenga.. but kutokana na shughuli zangu sijahamia.. nafikiri kupangisha!
 
Back
Top Bottom