The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Ila bora kukaa kwakomtu amejenga chanika kajumba hakaeleweki alafu anafanya kazi Mjini haoni kabisa adha na gharama yeye kwake muhimu kumiliki nyumba any way ni mtazamo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila bora kukaa kwakomtu amejenga chanika kajumba hakaeleweki alafu anafanya kazi Mjini haoni kabisa adha na gharama yeye kwake muhimu kumiliki nyumba any way ni mtazamo tu.
Hongera bossMwaka 2018, nikiwa na 28 yrsView attachment 2669599
Na bado unakula tunda kimasihara kwenye nyumba saba.Nikiwa na miak 23 nilihamia kwangu hadi sasa nina miaka 29 nina nyumba 7...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] shikamoo Jf
Kwa ni uongo unajenga ili iweje Kwani nyumba za kupanga hakunaacha kuwatisha vijana
Kujenga ni ka scam flani hivi ka kijinga sana tunapoteza muda mwingi kwa aajili ya kitu kidigo kusema unamiliki nyumba lakini hakuna kipya. Imagine mtu anawek3za zaidi ya 50m kwenye nyumba na hapo kaajiriwa anamnyeyekea boss kila siku kwani angetafuta hyo 50m akafungua biashara si angeweza kuishi kwenye appartment upanga au maeneo yenye hadhiHahaha kwanini mkuu
Chief unanifanya nijione nimekua mzembe mno....Nyumba yangu ya kwanza kabisa kujenga, nilihamia ninikwa na umri wa miaka 26
Hapana mkuu, Mungu hufanya kila jambo kwa wakati....😊 we endelea kupambana mkuu...☺Chief unanifanya nijione nimekua mzembe mno....
Kazi kulipia tu kifurushi Kwa wakati na kubishana mpira tu kijiweni hapa.
Nimelichukua hili.
Hongera sana mkuu, nyumba imekula M ngapi hadi hapo,taget zangu nimiliki nyumba yangu nikiwa na miaka 27 lakini ilipita hata kiwanja Sina mpaka miaka 29 nikapata kiwanja kwa bei nzuri chapu nikanunua kumbe kilikua na migogoro ya kifamilia aisee nilizunguka mahakamani Kama mweu nikipambanaia haki yangu zaidi ya mwaka nikafanikisha .
Then nikajikusanya Sana kwa kujinyima punguza baadhi ya mambo ya siyokua ya maana hadi ndg na najamaa wa vizinga wakanisema Sana me bahili.
Nimefaniki hamia kwangu mwezi wa sita mwaka huu ambapo na miaka 31
nashukuru kwa hili kikubwa tupambane kidg kdg unaweka kitu.View attachment 2675315
Ni sahihi na kujenga ni maamuz kaka.Watu wanajenga sana mkuuu
Sio kila mtu lazima awe mfanyabiashara wengine sisi ni watejaKujenga ni ka scam flani hivi ka kijinga sana tunapoteza muda mwingi kwa aajili ya kitu kidigo kusema unamiliki nyumba lakini hakuna kipya. Imagine mtu anawek3za zaidi ya 50m kwenye nyumba na hapo kaajiriwa anamnyeyekea boss kila siku kwani angetafuta hyo 50m akafungua biashara si angeweza kuishi kwenye appartment upanga au maeneo yenye hadhi
Bravo [emoji122]taget zangu nimiliki nyumba yangu nikiwa na miaka 27 lakini ilipita hata kiwanja Sina mpaka miaka 29 nikapata kiwanja kwa bei nzuri chapu nikanunua kumbe kilikua na migogoro ya kifamilia aisee nilizunguka mahakamani Kama mweu nikipambanaia haki yangu zaidi ya mwaka nikafanikisha .
Then nikajikusanya Sana kwa kujinyima punguza baadhi ya mambo ya siyokua ya maana hadi ndg na najamaa wa vizinga wakanisema Sana me bahili.
Nimefaniki hamia kwangu mwezi wa sita mwaka huu ambapo na miaka 31
nashukuru kwa hili kikubwa tupambane kidg kdg unaweka kitu.View attachment 2675315
Haya mteja baki na uteja wako. Usisahau kwenda kwa pili misanaSio kila mtu lazima awe mfanyabiashara wengine sisi ni wateja