Nilipata mwaka, 1996nikiwa na miaka26 nikiwa sales man, nilipata ya uhamisho Dodoma _Mbeya! Niliinywea farujohn! Naijutia hadi Leo.Kwema wakuu!
Cc: Mshangazi dot com | Demi | Red black | Half american
- Uliweza kupata milioni moja (Tsh 1,000,000) yako ya kwanza ukiwa na umri gani?
- Ulifanya kazi gani,uliuza nini ukaipata?
- Unaweza pia kushare uliitumiaje?
Ndio na wapambe,maana Mbeya ndio home, Sasa nilipata kazi,jamaa zangu hawana,sifa za ujana,nilijiona mfakme wa kwazulu_Natal!milioni nzima farujohn pole mkuu nadhani ulijifunza
Shukrani mkuu, Mimi bado sijaipata na bado sioni dalili za kuipata ila siku nikiipata hata nikiwa na miaka 90 ntaleta Uzi hapa JFmnaruhusiwa kuwa huru kiongozi
Definition ya kutoboa ndio kushika kibunda?Aisee pongezi uliwahi kutoboa