Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 20, kazi ni kusoma, serikali ikanipa boom nikalichanga likafika 1M😅😅😅.Kwema wakuu!
Uliweza kupata milioni moja (Tsh 1,000,000) yako ya kwanza ukiwa na umri gani? Ulifanya kazi gani,uliuza nini ukaipata? Unaweza pia kushare uliitumiaje?
kupata 1M+ kwa umri mdogo 18yrs au under ni kipengele kwa bongo kama ukifanikiwa kuipata kuna namna fulani unakuwa umetoboa kama utakuwa na plans nzuri za kuizalisha.definition ya kutoboa ndio kushika kibunda?
maana mjomba wangu ali kuwa 24 wakati huo, na ali vuna 15m mbele ya macho yangu.
Sio kweli mafanikio kama utafanya jambo la maana. Umri huo wengi tuna mihemko. Mimi sikua nakunywa wala kufanya starehe. Ila hizo hela hadi leo sijui zilipotelea wapi. Zaidi muda baadae ndio nilianza kununua shamba na ujenzi at 24. Tena na hela za umri huo. Zile za kupata kwa pupa sikuwahi nunua hata jeans ndani.Noma sana 17yrs kushika M1 kibongobongo ni mafanikio makubwa.
Labda uzi sijauelewa vizuri, ila sijawahi kupiga million moja kwa wakati mmoja deal nyingi zinaniletea chini ya hapo. Kwenye account sawa ipo zaidi ya hiyo.haufungwi na hautaunganishwa karibu sana ukiipata, lakini pia unaweza kushare nini kinakukwamisha usiipate kwa sasa.
Yeah lakini hadi niajiriwe na nnazeeka sasa sijawahi pewa hiyo ajira😂😂😂ni yako lakini utairudisha 😂
Usinikumbushe machungu bana..Kwema wakuu!
Uliweza kupata milioni moja (Tsh 1,000,000) yako ya kwanza ukiwa na umri gani? Ulifanya kazi gani,uliuza nini ukaipata? Unaweza pia kushare uliitumiaje?
Na ukame wote huu?😂😂 Ila usikute kuna watu mnapata hizo?Dah 😂 bado muda upo kama ukiweka mambo sawa unaipata tena na zaidi
Tuendelee kusoma mana nna 35 sijawahiAmbao hatujaipata bado na tunaelekea uzeeni tunaruhusiwa kuchangia chochote kwenye hii mada au tuendelee kuwa wapenzi wasomaji?