Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nilizitumia tu kwa matumizi ya kawaida. Kiasi kidogo nikainvest kwenye biashara flani hivi na yenyewe nikala hasara.22M ikaisha yote !!! bila kuifanyia chochote!!! pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilizitumia tu kwa matumizi ya kawaida. Kiasi kidogo nikainvest kwenye biashara flani hivi na yenyewe nikala hasara.22M ikaisha yote !!! bila kuifanyia chochote!!! pole sana
pole Sana, ila naku elewa Sana maana mdogo wangu nae ali lamba kibunda kizuri.Usinikumbushe machungu bana..
Niliwahi kupata milioni 22 kama miaka 8 hivi iliyopita na sikuifanyia chochote cha maana.
Inauma sana😄pole Sana, ila naku elewa Sana maana mdogo wangu nae ali lamba kibunda kizuri.
aka ishia kuitwa boss na wapambe, full kujaza nguo, perfume na viatu kwenye kabati.
Sema tuli mchangia na ali pewa mchongo kwa mjomba wetu.Inauma sana😄
Sema pesa za mwanzo mwanzo huwa zinakawaida hiyo, zinakuja zinakufanya uwe huru kufanya yale yote ambayo ulikua umepania kuyafanya pindi ukipata pesa then zinaondoka zinakuacha na ayaaaaaaa😂😂😂, zinapotea kwa muda but zikirudi tena zinakukuta uko fit na unaelewa namna ya kuzihandle.Nilizitumia tu kwa matumizi ya kawaida. Kiasi kidogo nikainvest kwenye biashara flani hivi na yenyewe nikala hasara.
Wapambe noma kwani kidogo!Tena wa Sasa ndio wamezidi na msemo wao'Huna baya Boss,hata Ukifa huozi!Wapambe sometimes ni nuksi wanakujaza ukijaa kuja kushtuka 1M ishakata
Nazisubiri zirudi sioni hata dalili😀Sema pesa za mwanzo mwanzo huwa zinakawaida hiyo, zinakuja zinakufanya uwe huru kufanya yale yote ambayo ulikua umepania kuyafanya pindi ukipata pesa then zinaondoka zinakuacha na ayaaaaaaa😂😂😂, zinapotea kwa muda but zikirudi tena zinakukuta uko fit na unaelewa namna ya kuzihandle.
Mwaka huo hiyo ni salary ya mwajiriwa kwa mwaka mmoja.Nilipata mwaka,1996nikiwa na miaka26nikiwa sales man,nilipata ya uhamisho Dodoma _Mbeya!Niliinywea farujohn!Naijutia hadi Leo.
Zitarudi mkuu, zinaweza zisirudi kwa mara moja ila kidogo kidogo ila zinakua na athari fulani chanya tofauti na zile nyingi.Nazisubiri zirudi sioni hata dalili😀
Hayo mashamba makubwa unalima kibarua!Nina 35, bado sijaipata. Nacheza kwenye 200K mpaka 500K. Sema nitarudi hapa kama uzi hautofungwa
Ndiyo mkuuHayo mashamba makubwa unalima kibarua!
Dah iwe hivyo basi maana mmh hali si haliZitarudi mkuu, zinaweza zisirudi kwa mara moja ila kidogo kidogo ila zinakua na athari fulani chanya tofauti na zile nyingi.
Kuna utofauti mkubwa kati ya kuwa na pesa fulani nene ila zinadumu kwa muda mfupi na pesa fulani nyembaba ila ndefuuuuuu hazina ukomo😅😅😅
Sasa wewe ulipiga pesa fulani nene ila zilikua fupi, but now utakua unapiga pesa fulani nyembaba ila ndefuuuuu.
Pole mkuu,jitahidi kulima Yako mwenyewe, unaonekana una nguvu sana!Ndiyo mkuu
Poa poa mkuuPole mkuu,jitahidi kulima Yako mwenyewe, unaonekana una nguvu sana!