Ulipo bei ya dagaa sh ngapi?

Mkuu si kweli hii [emoji849]
 
Mbn wakigoma huanikwa ktk mchanga na hawana mchanga
Tuma picha wakiwa wameanikwa. Hakuna dagaa anayevuliwa akiwa na mchanga, process za kumuandaa ndo husababisha mchanga. Angalia size ya dagaa wa z. Tanganyika na wa victoria. Mdogo ni rahisi kufunikwa na mchanga
 
Tuma picha wakiwa wameanikwa. Hakuna dagaa anayevuliwa akiwa na mchanga, process za kumuandaa ndo husababisha mchanga. Angalia size ya dagaa wa z. Tanganyika na wa victoria. Mdogo ni rahisi kufunikwa na mchanga
😆😆
 
Shida ni uaminifu wa kukutumia pesa ndio uanze kutuma mzigo wa dagaa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…