Ulipo kuna umeme muda huu?

Ulipo kuna umeme muda huu?

Mwanzo ilikuwa ukikatika tunaambiwa ni matengenezo/service ambayo hayskufanyika kwa miaka mitano.

Chorus imebadilika imekuwa hitilafu,hayo matengenezo si tuliambiwa ndiyo muarobaini wa katikakatika!

Hii wizara haihitaji propaganda,muda utakuumbua tu.
 
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.

Je ulipo wewe umeme upo?

Pia soma;

Hakuna.....Katiba Mpya haileti umeme- dpw
 
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.

Je ulipo wewe umeme upo?

Pia soma;


Leo umeme changamoto yani unawaka na kuzima aisee hii nchi changamoto sana.
 
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.

Je ulipo wewe umeme upo?

Pia soma;

Hakuna hadi sasa haujarudishwa. Huenda umeshauzwa kwa DPW🙊
 
Nipo.buswelu mwanza hakuna umeme
Kumbe we jirani yangu kabisa wewe hapa Buswelu ,mi mkazi wa Wilayani hapa Buswelu , halafu hawa wapuuzi mbona hawajatoa maji wiki ya pili huku ? ,Tatizo nini aisee ?,maji ya shida buswelu halafu ziwa liko hapo chini tu Igombe ? ,Na tank la maji wameshamaliza hapa Wilayani ,
Hii nchi ni ya kipumbavu sana , yaani Mwanza hii ndio ya watu kulia shida ya maji ? ,
Hii ni laana sio siri .
 
Sababu
IMG-20230822-WA0011.jpg
 
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.

Je ulipo wewe umeme upo?

Pia soma;

Shy hakuna
 
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.

Je ulipo wewe umeme upo?

Pia soma;

Niko kifuru hapa umekata kama masaa mawili hivi yaloisha
 
Back
Top Bottom