Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
Moshi nzima umeme hakuna, ni bora tuwape TPC tenda ya kuuza umeme sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
8%Pale ambapo simu ina 24%😌😌😥
Chaguo letu milele... tuntuuu
Nawavimbe wapasuke tuntuuu.....[emoji1787][emoji1787]
Hakuna watu wanaolinga mda huu kama team infinix maana kwa kutunza chaji waku vizuri..
Hili nalo neno. UsikilizweLabda wanataka kubadili ajenda , sasa tunajadili issue ya umeme.
Maana haiwezekani zaidi ya nusu ya nchi iwe hamna umeme .
Holaa..Huoooo!!
Tafuta mikataba ya gesi ya Mtwara halafu uone kama dini iingilie serikali au tuiachie serikali ifanye inavyotaka.HIVI GAS YA NTWARAAA INAFANYA KAZI GANI????
😀 😀 😀 😀daah tena alikuwepo yule mzee aiseee sidhani kama kuna kitu tunapataaaTafuta mikataba ya gesi ya Mtwara halafu uone kama dini iingilie serikali au tuiachie serikali ifanye inavyotaka.