Ulipo kuna umeme muda huu?

Ulipo kuna umeme muda huu?

Ataongeza mishahara mwishoni mwa mwezi wa nane ila kaongeza kodi ya jengo mwanzoni mwa mwezi wa nane, nani kama mama?
 
Aliyekata umeme aongezewe msharaha umeme kwa Tz ni anasa cc: CCM
 
Tafuta mikataba ya gesi ya Mtwara halafu uone kama dini iingilie serikali au tuiachie serikali ifanye inavyotaka.
😀 😀 😀 😀daah tena alikuwepo yule mzee aiseee sidhani kama kuna kitu tunapataaa
 
Back
Top Bottom