Ulipo kuna umeme muda huu?

Ulipo kuna umeme muda huu?

Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.

Je ulipo wewe umeme upo?

Pia soma;

Nimeshindwa kufanya maokoto kisa umeme haupo
TANESCO ni
 
COMENT ulipo kama kuna Umeme Tuje kuchaji simu.
Dodoma mjini, kikuyu, ng'ong'ona, Udom kote leo pangu pakavu hakuna umeme tangu Asubuhi tena bila taarifa.

Kipara anaupiga mwingi leo sisi wa kutegemea umeme ili tule tutakula tulikopeleka mboga.


Cc Zero IQ.
Kisasa upo mida hii unabeep!
 
Mnaishi wapi mnapendelewa hapa muda wote nimewasha taa maana simu inakata charge na utumbo niliokuwa nimeanza kuupika hata haukuchemsha nimeshindia maji tu
Pole sana aisee🤦‍♀️🤦‍♀️,, nahisi hautachelewa sana mkuu..endeleeeni kusubiri
 
Back
Top Bottom