Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah unanunua ata wa buku mbili mzee au unaogopa kuchafua nyumba ya watu 😂Bachelor na mikaa tena wapi na wapi?
Mimi mazingira yangu hayaniruhusu mkaa. Hata hiyo gas sikunuua maana sipiki mara nyingi ni mara chache chache sana. Kama hiyo gasi ndogo iliishi mwezi wa sita na nilikuwa nimeinunua JanuaryJamani😀😀😂😂😂...kuna watu wana bachelor na wanapikia kuni sembuse mkaa mkuu🤣🤣🤣🤣🙌
Mimi mazingira yangu hayaniruhusu mkaa. Hata hiyo gas sikunuua maana sipiki mara nyingi ni mara chache chache sana. Kama hiyo gasi ndogo iliishi mwezi wa sita na nilikuwa nimeinunua JanuaryJamani😀😀😂😂😂...kuna watu wana bachelor na wanapikia kuni sembuse mkaa mkuu🤣🤣🤣🤣🙌
Shida yenu mnalilaumu Sana taifa mkijua nyinyi sio sehemu ya taifa, anza kujilaumu kwanza wewe, maana wewe ndio taifa, tatizo tunafikiri taifa ni just watu watatu wanneTaifa lenye miaka 62 ya uhuru wa kujitawala lenyewe bado halijitoshelezi umeme wa kutosha licha ya uwepo wa vyanzo vingi vya kuweza kuzalisha umeme huo.
Umeme mgao, maji mgao, miundombinu duni, huduma zingine za kuunga unga tu.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Hamna hiyo bado labda nikivuta pisi kuishi nayo.Ahahah unanunua ata wa buku mbili mzee au unaogopa kuchafua nyumba ya watu 😂
Basi pole mkuu😀😀...ikitokea umeme umekata siku mbili na hauna hela maanake hautakula🧐Mimi mazingira yangu hayaniruhusu mkaa. Hata hiyo gas sikunuua maana sipiki mara nyingi ni mara chache chache sana. Kama hiyo gasi ndogo iliishi mwezi wa sita na nilikuwa nimeinunua January
Halafu huu mkoa, hakikisha unatembea na Kitambulisho mfukoni. Aisee!Kigoma utarudi kweli au mpaka uchaguzi mkuu
vizuri kama umerudi mkuu,, ndo upike chap sasa 😂😂😂Dah ngoma imerudi hapa asee ngoja nipike chapa hawakawii kurudisha muamala hawa Tanesco 🤣🤣 Leejay49 Mwachiluwi
Masaa yenu yanaenda taratibu mkuu😀😀...saizi 14:00🤔🤔nipo hapa geto moshi-shanttown mtaa wa ccp, hakuna umeme mda huu saa 14:00 dah
Ajilaumu kwa kushindwa kufanikisha nini, na kwa mamlaka gani aliyonayo kwenye taifa hili hata kama yeye ni sehemu ya taifa hili..?Shida yenu mnalilaumu Sana taifa mkijua nyinyi sio sehemu ya taifa, anza kujilaumu kwanza wewe, maana wewe ndio taifa, tatizo tunafikiri taifa ni just watu watatu wanne
Hivi wanaosema uwoooo umerudi, ni vijana au ni akina baba/ akina mama [emoji23][emoji23]