Ulipo kuna umeme muda huu?

Ulipo kuna umeme muda huu?

Hapa Mbezi Beach ulikatika ukarudi kwenye saa sita hivi ukakatika tena ukarudi saa nane ukakatika tena umerudi kama dk tano zilizopita. Wacha nicharge simu kabisa dalili siyo nzuri
 
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.

Je ulipo wewe umeme upo?

Pia soma;

Huku amna
 
Hapa Mbezi Beach ulikatika ukarudi kwenyw saa sita hivi ukakatika tena ukarudi saa nane ukakatika tena umerudi kama dk tano zilizopita. Wacha nicharge simu kabisa dalili siyo nzuri
Hapa pia umerudi dk 6 zilizopita
 
Halafu huu ni ujinga, yaani nchi nzima inategemea kapointi kamoja tu umeme unakata pote!

Kwa nini wasingedecentralize hizo power sources and control zikawa hata kimajimbo au kanda?

Kwa fizikia ya darasa la tatu sijui la sita ina maana nchi yetu inatumia muundo wa mfuatano na sio muundo sambamba!!!?
Asikudanganye MTU Tanesco inavyanzo vya umeme Zaidi ya 10
 
Back
Top Bottom