Ulipo kuna umeme muda huu?

Ulipo kuna umeme muda huu?

Kumbe we jirani yangu kabisa wewe hapa Buswelu ,mi mkazi wa Wilayani hapa Buswelu , halafu hawa wapuuzi mbona hawajatoa maji wiki ya pili huku ? ,Tatizo nini aisee ?,maji ya shida buswelu halafu ziwa liko hapo chini tu Igombe ? ,Na tank la maji wameshamaliza hapa Wilayani ,
Hii nchi ni ya kipumbavu sana , yaani Mwanza hii ndio ya watu kulia shida ya maji ? ,
Hii ni laana sio siri .
Aisee tupo kama tumelogwa vile..

Mafala mafala kabisa...yaani Mwanza na yenyewe inakuwa na shida ya maji..
 
Umerudi Sasa HV nilikuwa nawaza dodoma bila umem watu wataishije mnk hakun bomba limetoa maji siku mbili mfululizo
 
Kumbe we jirani yangu kabisa wewe hapa Buswelu ,mi mkazi wa Wilayani hapa Buswelu , halafu hawa wapuuzi mbona hawajatoa maji wiki ya pili huku ? ,Tatizo nini aisee ?,maji ya shida buswelu halafu ziwa liko hapo chini tu Igombe ? ,Na tank la maji wameshamaliza hapa Wilayani ,
Hii nchi ni ya kipumbavu sana , yaani Mwanza hii ndio ya watu kulia shida ya maji ? ,
Hii ni laana sio siri .
Wakazi wa buswelu wengi wana visima mm pia kwangu nimechimba kisima kina maji mengi tu mwaka.mzima so sijavuta maji bado nafikiria, umeme nao nimevuta ila wiring bado so kuna wiring ya solar ndo natumia inanipa kila kitu so tanesco natumia kunyosha na kuwasha fridge tu wao wakate umeme wanavyoj7a mm sina habari kabisa
 
Back
Top Bottom