Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hujaona kwamba kuna shida moja ilikuwa imetoroka yenyewe hapo?πππππNyie jamaa jamii yenu inaonekana ni ya watu wa fitna na umbea sana yani unapigiwa simu kupewa taarifa ya meko kufariki, real? Mkiacha shida zote tulizonazo kama taifa!
Bado una majonzi.Pole sana.Hata kuandika tu unatetemeka.Nikiwa hapa mji dsmlamu nilikiwanakaribia. Kulala bas Niko na jirani angu Apo katuliaa getoni kwake tuli bass jamaaa akakimbia chumbani kwangu kuwa meko amefariki duh nikasikitika snaa.
Kweli nikasema wamemuaa itakuwa Jamaaa alinishangaa sna kwa jinsi nilivyoupokeee msiba huo nilidondosha Choz kbsa nikajikaza kimya kimya bas jamaa aalinishanga sana jins nilivyo upokea alizani nitafuraia ilaa uliniumma snaa ckupenda kifo chake kwa kweli
dah! Imebidi nicheke tu.Nilikua sehemu nimekaa nakunywa soda...akaja jamaaa fulani ananambia oya baba amevuta nikashtuka sana na kumpa pole nyingi...ikabd nimuulize mnazika lini na lin utaenda mbeya??....
Nashangaa ananijibu magufuli na mbeya wapi na wapi....heee nikashtuka kumbe magu?? Nikajua baba ako nilishangaa sana jamaa ananambia hivyo huku analia sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....ikabd nimpe pole akapokea pole yangu nikaendelea kunywa soda
Sasa magufuli alikuwa na jema lipi?[emoji16] Hadi uhuzunike?Mie nilikua kitandani najiandaa nilale nikapigiwa simu na sister angu ananiuliza kuna habari gani huko mjini nikamwambia huku shwari hakuna shari akasema mbona nasikia Rais amefariki?
Nikacheka sana nikamtoa wasi wasi sister atulie tulii kuna wazushi wanapenda kuzusha mambo akasema ameona kwa Zamaradi kapost, nikashtuka kidogo nikamwambia wait nitamcall back.
Mie mbio mbio hadi Jamii Forum nakutana na TANZIA kuuuuubwa, nililia kwa uchungu daaaah hadi leo hua napata ukakasi sana kumuita Hayati Magufuli nahisi bado yupo nasi,
Continue to rest easy Mzalendo wa kweli,
[emoji24][emoji24]
Hujawahi kufiwa?uzuri sikuhio nililala mapema, baada ya kuumwa kutwa nzima hoi hoi...
Nilikuja kuambiwa saa11 alfajiri moyo wangu ulipasuka,sikua na amani kutwa nzima kwa mara ya kwanza niliuona msiba unavyoumaga kwakweli ilikua ni gafla mno mpaka leo nashindwa kuamini. [emoji22]
Unasisimka magufuli kufariki?Nilikua JF naperuzi mida yangu ya kulala ilikua mara ghafla natoka jkwaa la mahusiano narudi habri na hoja mchanganyiko nakutana na TANZIA nilisisimka usingizi ukakata machozi yakanilenga nikasema basi tena ndo huku pembeni kwa jirani nasikia Mama Samia anatangaza
Unamkubari kwa lipi propaganda zake?Me nilikuwa v lounge, moshi town, nakula vyombo na mchuchu, sina hili wala lile, mara simu inaita, na mziki, nikasema bro ni nn usiku usiku na misimu.
Yaye hakuwa anamkubali Magu, mimi namkubali mbayaa, hadi kiama. Zile fununu tukawa tunabishana sana wanamzushia. Napokea simu naziba sikio moja nimsikilize freshi.
Bro ananiambia, dogo cheki tbc Samia anahutubia taifa, nilivosikia tu hivyo, moyo ukapiga paaa.
Mnachekesha sanaIlikuwa usiku, nikasikia Tanzia. Kifupi kwanza si kulala hadi asubuhi, na hamna msiba niliowahi kutoa machozi kama wa hayati Magufuli. Mimi ni mmoja wa watanzania tulioumia sana na kufariki kwake. R. I. P Magufuli
Una mpenzi?
Kweli lakini maana kuna watu ilikuwa kama habari yakupata uhuru.Hujaona kwamba kuna shida moja ilikuwa imetoroka yenyewe hapo?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Itoshe kusema nilikunywa sana jameson na kupata wanawake 4 wazuriIle siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"
Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.
msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.
Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.