Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Namkumbuka dada mmoja wa Kimasai aliyenitonya dhalimu kafa tangu tarehe 11 March. Siku hiyo huyo dada aliruka ruka kwa furaha kubwa sana. Wala sikumlaumu kwani kama mfanyabiashara Arusha na Dar biashara zake zimeyumba sana kutokana na sera MUFILISI na kwa muelekeo huu wa samia sidhani kama kutakuwa na ahueni anytime soon.

 
Arusha watu walifunga biashara sana, mmojawapo mie
 
Watu tunazika watu wetu kwa corona kila siku halafu yeye anasema Tanzania haina corona! Alistahili sana kufa kwa corona hiyo hiyo.
Aaaaaa mimi nilishtusha na kilio cha Mke wa Jirani yangu nyumba ya pili...Upuuuzi mtupu,nikikumbuka Ndio week imepita nimemzika Baba yangu kwa uongozi wakizembe kwakuzembea Corona,nikasa bora nayeye aende tu
 
Nyie jamaa jamii yenu inaonekana ni ya watu wa fitna na umbea sana yani unapigiwa simu kupewa taarifa ya meko kufariki, real? Mkiacha shida zote tulizonazo kama taifa!
Cool
 
Duu acha tu
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Duuu pole
 
Siku hio sister kanipigia simu saa 5 usiku, nikaikaushia tu nikahisi jambo zito linakuja. Sio kawaida kunipigia late night.

Baadae ananitumia sms eti magufuli kafariki, dah nilizima simu, nikalala! Like nothing happened.

I lost my Job because of him.
And now I am a senior un employed fellow.

6 yrs without a Job
 
Aiseeeee
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Haaaaaaa
 
Nipo Mkoani Tanga Lushoto huko nacheki Game ya Uefa Chelsea vs A.Madrid sina hili wa lile kuna jamaa akaropoka Magufuli kafariki..watu fasta fasta wakaingia kwenye simu zao kuverify..aisee mpira haukutazamwa tena.
Duuuuuu
 
Duuuu
 
[emoji23][emoji23] i miss my school. Ila siku hizi hata si ya moto kama zama zetu miaka ya advance late 2000s.. tulikua wa moto sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…