Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Nilipokea sms,saa kumi na moja asubuhi kutoka kwa mshikaji .sikuamini nikawasha tv mmmh,nikaweka TBC 1 .nilichikikuta sikuamini

Pamoja na kwa styles za uongozi wa Mh:sikuzikubali Sana ila nilidondosha machozi

Nikahamishia channel ten nikakuta wimbo wa kwaya wa Bernad Mukasa uitwao mwanzi uliopondeka, unaimba hapa nililia kwa sauti.

NB:sikumkubali kabisa mzee,ila kufa kwake siku ile nilikosa Raha kabisa
 
Taarifa za kifo chake nilizipata trh 9 kutoka kwa mtu ambae hawezi kudanganya ila nikajua uzushi tu.
Tetesi zikaendelea mitandaoni, sasa siku ya trh 17 saa 11 alfajiri nilikosa usingizi nikaingia jf nikakuta mtu kaweka uzi akisema " si watangaze tu raisi wa nchi yupo kwenye fridge wiki nzima si watangaze"

Yesuuuu, moyo ulidunda mbio nikatoka kitanda nikashika biblia sikuifungua nikapiga magoti nikasema Mungu nakuomba hiki nikachokihisi nikilinganisha na tetesi za mitandaoni mungu naomba isiwe ni kweli.
Yaani nilihisi naumivu ila nikajisemea hapana hizi hisia mbaya nikajiandaa nikaenda kazini.

Nikiwa ofisin kuna kijana mmoja kaingia akicheka kweli akasema "jiwe lazima lidondoke" nilimjibu magufuli hafi leo tukaishia hapo.

Nyumbani nilifika saa 3 nikajilaza kwenye sofa nikapitiwa usingizi, sasa nikiona simu ya mama inaita najua ni saa 4 usiku, nikampokea usingizini tukasalimiana mwisho akaniambia eti " dada nimesikia jpm kafa? Nikasema mama hao waongo.
Nilienda chumbani nikalala mida kama ya saa 6 kasoro naona shoga yangu wa moro ananipigia, bila hata salama nikasikia, " wewe unalala hovyo wakati raisi kafa? Yesuuuuuuu, usingizi ukikata nikamjibu, wewe ni uzushi uko mitandaoni, akasema washa tv samia anatangaza.

Fasta nikaingia insta nikakuta samata kapost yesuuuuu nilipiga kelele, na ninavyoishi mwenyewe, nikaanza kupigia watu nikiuliza.

Nikaona haitoshi, kuna ndugu yake jpm namjua nikampigia alivyopokea simu kwa muda ule nilijua tiyari, nilibaki tu napiga ukunga, kila ninaempigia yupo hewani watu wanalia aiseee.

Nakili magufuli nilikuwa namkubali kawaida tu ila sijui baada ya kusikia kifo chake yale maumivu yalitoka wapi yaan utadhani mimi ndugu yake. Nililia sana.

Kuna fala mmoja akanipigia najua hampendaji jpm, nikapokea nikasikia kicheko nikakata simu nikamblock. Siku mbili baadae akanitafuta kwa no nyingine nilimchamba hakuamini. Akinipigia siku hizi lazima awe na adabu sina hasara hata asipokuwa rafiki yangu.

Magufuli ulijua kuniumiza jamani.

RIP JPM.
 
Nakubuka vizuri sana wakati mama samia anatangaza huyu mkuu wa wasiojulikana kafa, nilikuwa canton ya ZUG, huko swiss, nilikuwa niko macho, nafanya nakagua tax records za kamupuni yangu, maana imesajiliwa hapo zug, mara simu ikaita, ni mtu rafiki toka bay area, huko california, kaniuliza una taarifa, kauliza taarifa gani, hujasikia kaniuliza, kasema la niambie, kaniambia aliyekuwa anaua, anateka, anabadikia watu kesi za uhujumu uchumi ako na shetani sasa hivi, mara simu zinaaza kuingia kunipa taarifa,niliacha ile kazi, kaaza kujulisa watu, kila pahali, kila mtu nikimupigia wengi taarifa wanazo, ni shagwe na nderemo, furaha kweli, never ever again in tanzania, watu wanasema kwa twitter, sikulala ile usiku nilikesa nasherekea ushindi mkuu, mungu ni mkuu kuliko kijani, amina, jina lake liko juu ya majina yote
 
Taarifa za kifo chake nilizipata trh 9 kutoka kwa mtu ambae hawezi kudanganya ila nikajua uzushi tu.
Tetesi zikaendelea mitandaoni, sasa siku ya trh 17 saa 11 alfajiri nilikosa usingizi nikaingia jf nikakuta mtu kaweka uzi akisema " si watangaze tu raisi wa nchi yupo kwenye fridge wiki nzima si watangaze"

Yesuuuu, moyo ulidunda mbio nikatoka kitanda nikashika biblia sikuifungua nikapiga magoti nikasema Mungu nakuomba hiki nikachokihisi nikilinganisha na tetesi za mitandaoni mungu naomba isiwe ni kweli.
Yaani nilihisi naumivu ila nikajisemea hapana hizi hisia mbaya nikajiandaa nikaenda kazini.

Nikiwa ofisin kuna kijana mmoja kaingia akicheka kweli akasema "jiwe lazima lidondoke" nilimjibu magufuli hafi leo tukaishia hapo.

Nyumbani nilifika saa 3 nikajilaza kwenye sofa nikapitiwa usingizi, sasa nikiona simu ya mama inaita najua ni saa 4 usiku, nikampokea usingizini tukasalimiana mwisho akaniambia eti " dada nimesikia jpm kafa? Nikasema mama hao waongo.
Nilienda chumbani nikalala mida kama ya saa 6 kasoro naona shoga yangu wa moro ananipigia, bila hata salama nikasikia, " wewe unalala hovyo wakati raisi kafa? Yesuuuuuuu, usingizi ukikata nikamjibu, wewe ni uzushi uko mitandaoni, akasema washa tv samia anatangaza.

Fasta nikaingia insta nikakuta samata kapost yesuuuuu nilipiga kelele, na ninavyoishi mwenyewe, nikaanza kupigia watu nikiuliza.

Nikaona haitoshi, kuna ndugu yake jpm namjua nikampigia alivyopokea simu kwa muda ule nilijua tiyari, nilibaki tu napiga ukunga, kila ninaempigia yupo hewani watu wanalia aiseee.

Nakili magufuli nilikuwa namkubali kawaida tu ila sijui baada ya kusikia kifo chake yale maumivu yalitoka wapi yaan utadhani mimi ndugu yake. Nililia sana.

Kuna fala mmoja akanipigia najua hampendaji jpm, nikapokea nikasikia kicheko nikakata simu nikamblock. Siku mbili baadae akanitafuta kwa no nyingine nilimchamba hakuamini. Akinipigia siku hizi lazima awe na adabu sina hasara hata asipokuwa rafiki yangu.

Magufuli ulijua kuniumiza jamani.

RIP JPM.
itakuwa wewe ni jokate au ulinufaika kweli na utawala wa jiwe, naona ulikuwa unafurahia watu kupigwa risasi, kuuawa, kutekwa, kubadikiwa kesi za uhujumu uchumi,je kaa ben saa nane, azory gwada, kangunye, mawazo na wengine wengi ambao jpm aliua ungekuwa na huzuni wakati huyu shetani mungu alimuondoa na kumutupa kwa moto wa milele
 
Nilipofikiria maumivu aliyopata mama yake ben saa nane, azwory, maumivu ya risasi ya lissu, familia zinazoishi kwa tabu baada ya wategemezi wao kutumbuliwa vyeti feki, kuondoa fao la kujitoa, kupora wafanyabiashara pesa zao, watu kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi, kukataa kwamba Tanzania hakuna corona, alipokufa nikasema bora amekufa manake heri dereva wa basi amuue mwenda kwa miguu kuliko kumkwepa kisha aue abiria 61.
 
itakuwa wewe ni jokate au ulinufaika kweli na utawala wa jiwe, naona ulikuwa unafurahia watu kupigwa risasi, kuuawa, kutekwa, kubadikiwa kesi za uhujumu uchumi,je kaa ben saa nane, azory gwada, kangunye, mawazo na wengine wengi ambao jpm aliua ungekuwa na huzuni wakati huyu shetani mungu alimuondoa na kumutupa kwa moto wa milele
Funga domo lako usinisababishie nafungiwa jf, funga bakuli lako hujui watu tumeumia kiasi gani.
Mimi ni mtu wa kawaida kuna watu humu tunajuana face to face. We mjinga ungekuwa karibu yangu ningekudunda mbaya kwa hasira nilizo nazo.
Mamilion wanalia kwa ajili ya jpm wewe unaongea ujinga, hivi unajua jpm alikuwa muhimu kiasi gani?
Unajua nini maana ya uongozi wewe?

Akili kisoda wewe.
 
Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.

Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"

Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.

msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.

Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
TO BE HONEST,,kipindi huyu mwamba akiwa madarakani ,,kuna baadhi ya mambo yaliyokua yanafanyika sikufurahishwa nayo kabisa,,,
Sasa siku ilipotangazwa hatuponae tena ,kwa bahati mbaya nilirudi home late sana kama saa sita kasoro kwa hiyo sikujua ,badala yake mida ya kumi na mbili asubuhi ndo nikaskia,,,
kiukweli pamoja na kuwa siku mkubali kivile ,,roho iliniuma saaaana,,nilitaka hadi kulia ila nilijikaza kiume ,,na mawazo yote ya kumchukia ilipotea ghafla,,yaani kama vile naanza kumkubali..
Nilichokifanya nikawa siaangalii tv kwa muda wote mpaka alipo zikwa.
Baada ya kipindi kile cha maazimisho kuisha,,,waii ,niliendelea kumponda kama kawaida mpaka sasa hivi.
Regardless of all these,,the man did something touchable to our country,,
Ila wanaendelea kuzingua kwenye issue ya kumchongea sanamu,,sijakubali wala nini,,bora hata wangejenga hospitali walipe jina lake na si sanamu itakayoonekana tyu ndani ya eneo la sabasaba kwa muda mchache ,,,
Na baada ya hapo mwisho wa siku italiwa na mchwa watumie tena gharama kukarabati,,,
Ndio maana as long as we ni ccm ,,nitakuchukia hata ukifanya mazuri ,,maana me nitaangalia madhaifu yako tyu,,,mnisamehe wana ccm
APUMZIKE KWA AMANI
 
Natamani Sana March 17 2021 irudiwe, IRUDIWE!
Nilikuwa nipo Arusha kikazi, nikapigiwa simu mida ya saa5.30 usiku nikaambiwa meko kafa, sikuamini nikawasha data msg za magrouo zikaja mfululizo sio mchezo, nikathibitisha ni kweli pombe amemwagika.
Nikaamka Kwanza nikashea habari njema na wanyonge wenzangu, kilichofuata ni kuoga pombe pub ya jirani na kesho yake nikachomoka chap kuungana na wanyonge tukafanya party pale Majengo Moshi
Hii chuki haifai mkuu hata iwe vp lakini alikua ,Rais wetu,baba wa familia,mtanzania mwenzetu amefanya Mambo mengi mazuri Ana deserve heshima hata Kosovo sio comment Kama hizi
 
Daah kabla ya Tarehe 17 tarehe 9 majaliwa anaenda njombe tarehe 12samia ana ziara Tanga siku tatu kabla ya hizo tarehe malaika alikua akizungumza na mimi katika roho
Nilimuota magufuli mara tatu ni baaada ya kuhutubia mbezi pale alinionyesha Mungu magufuli amekufa nilipatwa na roho ya kuomba na kujinyenyekeza mbele za bwana kitu ninacho amini magufuli alikufa tarehe 8 mwezi wa tatu
NILIMPENDA HUYU MTU KWA MARA YA KWANZA NAMUONA MAGUFULI NILIKUA NAMPELEKEA DEMU WANGU ZAWADI KATIKA SIKU YAKE YA KUZALIWA ALIKUA ANASOMA BAOBAB GIRLS BAHATI MBAYA SIKU ILE ILINYESHA MVUA DARAJA LA RUVU CHINI LILIKATIKA MAWASILIANO YA BARABARA KUTOKA MSATA KUJA DAR KUPITIA BAGAMOYO ROAD HAYAKUWA YANAPITIKA NDIPO MWAMBA ALIPOFIKA NA KUREKEBISHA HALI NIKAMUONA NILIWAZA MOYONI HUYU ANAFAA KUA RAISI WA NCHI NA KWELI IKAWA NILIMPENDA SANA HUYU MWAMBA TOKA MOYONI SIJIPIGA KURA TENA NILIANZA KWAKE UTAMADUN WA KUPIGA KURA NA UMEISHIA KWAKE KIBAYA NA KINACHONIUMA DEMU NILIYEMPENDA KANIACHA NA MWAMBA AMELALA MILELE NINAMAUMIVU TWO SIDE NI HAYO
Aisee unenikumbusha 2014, Daraja LA Dumila lilivyokatika na mawasiliano ya Moro<>Dom kukatika. Nilimshuhudia Mwamba akiwapa morali wale madereva wa magari yanayobeba mawe kujazia pale maji yalipoondoa barabara. Nakumbuka alikuwa anawapa 5000Tshs kwa kila trip ukifikisha mawe pale. Sijui hela alikuwa anazitoa wapi, lakini alisaidia mawasiliano kurudi fasta!
 
Hii chuki haifai mkuu hata iwe vp lakini alikua ,Rais wetu,baba wa familia,mtanzania mwenzetu amefanya Mambo mengi mazuri Ana deserve heshima hata Kosovo sio comment Kama hizi
Chuki ya nini wakati kila mtu anakumbukia Experience yake siku hiyo? Mimi binafsi siku hiyo jiwe anatangazwa amekufa, nilikuwa kwenye Majonzi ya kufiwa na Mama Mkwe wangu. Alikufa usiku wa kuamkia 17/03, kwa Umaskini wetu uliochangiwa na huyu mwendazake tulisafirisha maiti hiyo hiyo 17/03. Sasa tukafika ukweni saa 11:15 pm. Tunapata hiyo habari ya Jiwe, kiukweli ilitufariji karibia Wote tuliokuwa msibani na majonzi yetu yakapunguzwa mno!
 
Aisee unenikumbusha 2014, Daraja LA Dumila lilivyokatika na mawasiliano ya Moro<>Dom kukatika. Nilimshuhudia Mwamba akiwapa morali wale madereva wa magari yanayobeba mawe kujazia pale maji yalipoondoa barabara. Nakumbuka alikuwa anawapa 5000Tshs kwa kila trip ukifikisha mawe pale. Sijui hela alikuwa anazitoa wapi, lakini alisaidia mawasiliano kurudi fasta!
Muache apumzike kwa amani kazi kaifanya vyema matusi tutapokea sisi wanayomtukana hakuna namna
 
Muache apumzike kwa amani kazi kaifanya vyema matusi tutapokea sisi wanayomtukana hakuna namna
Hapo alikuwa Waziri wa Ujenzi/Mawasiliano na Uchukuzi. Sema alipopewa Mpini akabadilika kabisa!!
 
Machozi ya furaha yalinitoka niliposikia Magufuli ameumaliza mwendo wake.
Nilikuwa lindoni nimelala , maana masaa yale kwa siku ile ni zamu yangu kumwaga mate. Mshkaji akaja kunigongea ananiambia magu kafa.
 
Hapo alikuwa Waziri wa Ujenzi/Mawasiliano na Uchukuzi. Sema alipopewa Mpini akabadilika kabisa!!
Daaah yan mkuu naamani nikae nikufundishe historia....nikupe na mifano kwanini jamaa alikua vile na kwann dunia ili muheshimu kwa kumpa siku ya kipekee UN kutambua mchango wake uliotukuka uliskia wapi raisi wa nchi za afrika anakufa anapewahiyo spesho recognition? Tambua hao ni wazunguwa,wanamwambia nchi yake imeingia middle income country World bank sio NBS kwamba aliwashurutisha kutoa data za uongo my brother alikua na project kubwa katika africa bwawa la nyerere SGR bomba lamafuta gafi kutoka uganda ilibidi alipe mishahara, kasomesha watoto bure then utegemee aaajiri kweli mkuu? Aongezemishahara kweli? Huku aruhusu democrasia unaona samia anavyoanza kuhaha wameanza kumpanda kichwani lazima wasaliti kama lissu tuwatembezee gun kuwakumbusha kuwa nchi ipo serious kujengwa kama unamchukia mkuu kwa haya machache namuombea msamaha mtu huyu ila alikua na dhamira njema sana na hii nchi wananchi wanamanunguniko sana kama akitokea mgombea mwaka 2025 akasema ntafuata sera zamagufuli yan hata uweke jiwe watu watalipigiakura jiwe na sio viongozi njaa ona mama anavyodharirishwawananchi hawamuelewi kuhusu jambo moja tuu la corona
 
Daaah yan mkuu naamani nikae nikufundishe historia....nikupe na mifano kwanini jamaa alikua vile na kwann dunia ili muheshimu kwa kumpa siku ya kipekee UN kutambua mchango wake uliotukuka uliskia wapi raisi wa nchi za afrika anakufa anapewahiyo spesho recognition? Tambua hao ni wazunguwa,wanamwambia nchi yake imeingia middle income country World bank sio NBS kwamba aliwashurutisha kutoa data za uongo my brother alikua na project kubwa katika africa bwawa la nyerere SGR bomba lamafuta gafi kutoka uganda ilibidi alipe mishahara, kasomesha watoto bure then utegemee aaajiri kweli mkuu? Aongezemishahara kweli? Huku aruhusu democrasia unaona samia anavyoanza kuhaha wameanza kumpanda kichwani lazima wasaliti kama lissu tuwatembezee gun kuwakumbusha kuwa nchi ipo serious kujengwa kama unamchukia mkuu kwa haya machache namuombea msamaha mtu huyu ila alikua na dhamira njema sana na hii nchi wananchi wanamanunguniko sana kama akitokea mgombea mwaka 2025 akasema ntafuata sera zamagufuli yan hata uweke jiwe watu watalipigiakura jiwe na sio viongozi njaa ona mama anavyodharirishwawananchi hawamuelewi kuhusu jambo moja tuu la corona
Kwenye Corona nipo na mwamba 100%, Sema kwenye haya mengine na wewe hukumwelewa tu. Mtu na akili zake timamu anakomaa na Bwawa lililofanyiwa Upembuzi yakinifu miaka ya 1970 kweli? Pale alitupiga hela zetu wanyonge. Hii SGR mwanzoni ilikuwa ijengwe na Wachina, mwamba akazingua kwa kuwa10% ilikuwa sio upande wake. Walivyokaa sasa akawapa Mwanza<>Isaka.
 
Daaah yan mkuu naamani nikae nikufundishe historia....nikupe na mifano kwanini jamaa alikua vile na kwann dunia ili muheshimu kwa kumpa siku ya kipekee UN kutambua mchango wake uliotukuka uliskia wapi raisi wa nchi za afrika anakufa anapewahiyo spesho recognition? Tambua hao ni wazunguwa,wanamwambia nchi yake imeingia middle income country World bank sio NBS kwamba aliwashurutisha kutoa data za uongo my brother alikua na project kubwa katika africa bwawa la nyerere SGR bomba lamafuta gafi kutoka uganda ilibidi alipe mishahara, kasomesha watoto bure then utegemee aaajiri kweli mkuu? Aongezemishahara kweli? Huku aruhusu democrasia unaona samia anavyoanza kuhaha wameanza kumpanda kichwani lazima wasaliti kama lissu tuwatembezee gun kuwakumbusha kuwa nchi ipo serious kujengwa kama unamchukia mkuu kwa haya machache namuombea msamaha mtu huyu ila alikua na dhamira njema sana na hii nchi wananchi wanamanunguniko sana kama akitokea mgombea mwaka 2025 akasema ntafuata sera zamagufuli yan hata uweke jiwe watu watalipigiakura jiwe na sio viongozi njaa ona mama anavyodharirishwawananchi hawamuelewi kuhusu jambo moja tuu la corona
Bomba gani unaloongelea, ni hili ambalo hata Mama kaenda Uganda kusign juzijuzi tu?
 
Back
Top Bottom