Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Mkuu we acha tu
 
Ilikuwa usiku, nikasikia Tanzia. Kifupi kwanza si kulala hadi asubuhi, na hamna msiba niliowahi kutoa machozi kama wa hayati Magufuli. Mimi ni mmoja wa watanzania tulioumia sana na kufariki kwake. R. I. P Magufuli
Pole
 
Na sisi tuliopata taarifa kafa tarehe 9 March tu comment wapi?
 
Nadhani mwamba alikufa kwa Covid-19
 
Taarifa niliipata asubuhi baada ya kuamka...sikustuka kwa kuwa nilijua Hilo one week before...
 
Naona hayo madawa ya asili yalishakuharibu kichwa.
 
Binafsi niliumia sana siku hiyo hakuna wimbo uliokuwa ukiniumiza kila nikiusikia kama ule wa Msechu- UMETUACHA salama. Taarifa za kifo nilizipata mida ya saa sita usiku nikiwa kwenye basi la fikoshi Iringa to Mwanza. Jamaa alikuwa mwamba!!!
 
Mimi nikiri sikuwa sawa tangu tetesi za kuumwa kwake nlikuwa naomba Sana kimoyo moyo isiwe kweli yaani.badi bhana siku yenyewe nilikuwa nimetoka kazini ile nalumzika kidogo baada ya kuoga kabla ya Kula nikapitia pitia jf Kwanza ili nilale, ile naenda bafuni kirudi wife ananiambia angalia itv huku analia aisee...kwa mara ya Kwanza nikaonja uchungu wa msiba tangu nizaliwe inauma Kama nini.nilikaa Kama siku mbili sielewi elewi mpaka sasa bado kwa mbali sielewi Mimi.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Yaani ndo nilikua na 2 toka nirudi hospitali kufanyiwa operation ya tumbo. Group la whatsup la primary mtu akapost nikamwambia dont post kwanza ngojea credible sources maana tunajua zaman tu sema kuwa official ndo ilichelewa. Akanambia ni kweli tayari. Nikazama kuchek kwa mitandao na TBC 1. Basi status za unafiki ndo ziliniondolea ugonjwa kabisa.. kila status watu wanajiliza wakati ndo walikua wanamwombea kifoo. Nilipatwa na hasira maana ndo unafiki wenyewe. Nilikua nachat na babes pia[emoji23]
Maybe anaweza akawa alikua na furaha kunizidi. Ilikua balaa.. hata kuongea na miye waapi... basi life likasonga. Sema later sikuona sababu sana ya kufurahi japo ile ya kutumia pesa zetu kumzungusha kila mahali kulazimisha aonekane alipendwa iliboa.
Mzee wangu walichinja beberu[emoji23][emoji481] wafanya biashara wa dar, moshi na arusha ni wahanga wakubwa sana wa mwendazake.
 
SIKU hiyo nilichelewa kulala nikawa busy nacheki movie, baadae nikasema goja niingie online kidg ndipo mfanyakazi mwenzangu Kwenye group ikaingia sms kasema pumzika mwamba kisha kaweka emoji za kulia nikshtuka nikampigia akanambia Magufuli kafa [emoji24][emoji24][emoji24] sikuamini asee.


Nililia siku mzee anaagwa Mwanza baada ya clip moja kuiona anasaidia mama kipofu kule Mara nililia sana.

RIP. mzee
 
Nlikua getoo
Nkafungua status naona watu kama 20 wametupia picha ya magu!
Wala sikuwaza
Kuja kufunguaaa kumbee hee!!!!!!!!
Ikabid nizame kwenye trusted site ya ayo dah kumbe kweli[emoji26]
 
Mimi nilikunywa Whisky mapema nikalala.

Sa saba nasikia sauti dirishani kwangu, mshana, mshana amka tukanywe bia jamaa katili kafariki.
Dah..........
 
Nlitoa ofa ya kufa mtu kwa masela wenzangu,nusksi mungu aliipenda kuliko sisi
 
Nyie jamaa jamii yenu inaonekana ni ya watu wa fitna na umbea sana yani unapigiwa simu kupewa taarifa ya meko kufariki, real? Mkiacha shida zote tulizonazo kama taifa!
jikite kweye mada, au wewe ulikuwa unafaidi wakati wa jiwe, hakuna mtu wenye akili poa ambae hakuona jiwe kufa mungu kaondoa muakilishi wa shetani tanzania,
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…