Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
- Thread starter
-
- #101
Mkuu we acha tuHiyo siku nakumbuka nilikuwa natoka Mbeya,tupo kwenye coaster,muda wa saa tano hv usiku,tulikuwa mafinga,abilia wote wanasinzia,mmoja akacheki mtandaoni,akasema Jiwe kafa,watu wakashituka,usingizi ukaisha,story zikaanza hakuna aliyelala mpaka tunafika Morogoro,watu walikuwa kama wametoka kifungoni,Jiwe alikuwa shetani
PoleIlikuwa usiku, nikasikia Tanzia. Kifupi kwanza si kulala hadi asubuhi, na hamna msiba niliowahi kutoa machozi kama wa hayati Magufuli. Mimi ni mmoja wa watanzania tulioumia sana na kufariki kwake. R. I. P Magufuli
Na sisi tuliopata taarifa kafa tarehe 9 March tu comment wapi?Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"
Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.
msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.
Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
DaaaaaMie nilikuwa baa nishatupia kmanjaro 2, kusikia ivo nikaagiza crate zima na mdudu kilo mbili tukaanza kusherekea na wana.
Nadhani mwamba alikufa kwa Covid-19Hivi kifo chake hakikutangazwa kwanza na makamu wake? I mean watu walianza kupata habari kabla Samia hajatangaza? NB: Sizungumzii ule uvumi uliokuwepo tangu aanze kuugua mpaka kwenye tarehe 12 Chahali alipoandika rasmi kwenye Twitter kuwa amekufa. Naulizia serikali kutangaza rasmi. Turudi kwenye mada: Mimi niliposikia ni mgonjwa nilikuwa na mashaka kwani kile kipindi kingine alivumishwa tena anaumwa taabani. Kengele ya tahadhari ilianza kulia siku gazeti la Daily Nation lilipoandika kuna kiongozi kalazwa Nairobi Hospital. Nilijua hili gazeti hawakurupiki lakini cha ajabu kesho yake wakaandika tena hakuna kiongozi aliyelazwa. Baade nikapata habari kutoka chanzo cha kuaminika kuwa ni kweli amepata corona ila hali yake haijulikani. Siku mama Samia alipoenda Tanga na kusema kuchekiwa chekiwa ni kawaida kwa binadamu nilijua lazima kuna jambo ila nikasema huenda ame-recover. Nilijua rasmi alfajiri baada ya taarifa kutolewa usiku. Na hili la kutangaza usiku lilikuwa ni timing kwani walikuwa hawataki habari itoke mchana.
Naona hayo madawa ya asili yalishakuharibu kichwa.Mimi nilikuwa porini nalina asali na kutafuta dawa za mitishamba.
Usiku tumelala huko huko porini kuna dogo mwenzetu mmoja alikuwa na radio usiku tumelala akafungua kiredio chake akapata taarifa ya huo msiba akaniamsha kunijulisha sikushituka chochote nikarudi kulala kutokana na uchovu wa kutembea toka asubuhi porini.
Kesho yake nimetafuta network nikampigia jamaa mmoja kuconfirm kama ni kweli akasema ni kweli basi kilichoendelea sijui maana sikufuatilia tena habari hizo toka Samia aapishwe.
[emoji24][emoji24]
Mpaka leo siamini mwamba amekufa. Nilikuwa nimelala saa 6 usiku rafiki yangu akanitumia sms.
Yameniharibu vipi ?Naona hayo madawa ya asili yalishakuharibu kichwa.
Nlitoa ofa ya kufa mtu kwa masela wenzangu,nusksi mungu aliipenda kuliko sisiIle siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"
Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.
msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.
Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
jikite kweye mada, au wewe ulikuwa unafaidi wakati wa jiwe, hakuna mtu wenye akili poa ambae hakuona jiwe kufa mungu kaondoa muakilishi wa shetani tanzania,Nyie jamaa jamii yenu inaonekana ni ya watu wa fitna na umbea sana yani unapigiwa simu kupewa taarifa ya meko kufariki, real? Mkiacha shida zote tulizonazo kama taifa!
Mie nilikua kitandani najiandaa nilale nikapigiwa simu na sister angu ananiuliza kuna habari gani huko mjini nikamwambia huku shwari hakuna shari akasema mbona nasikia Rais amefariki? Nikacheka sana nikamtoa wasi wasi sister atulie tulii kuna wazushi wanapenda kuzusha mambo akasema ameona kwa Zamaradi kapost, nikashtuka kidogo nikamwambia wait nitamcall back, mie mbio mbio hadi Jamii Forum nakutana na TANZIA kuuuuubwa, nililia kwa uchungu daaaah hadi leo hua napata ukakasi sana kumuita Hayati Magufuli nahisi bado yupo nasi,
Continue to rest easy Mzalendo wa kweli,
[emoji24][emoji24 mmmmmmm