Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1] Dah umezingua mkuuHiyo siku nilikuwa nimepiga k-vant kubwa nikasema nipumzike nje kidogo ili nisiwasumbue wa ndani, bahati mbaya usingizi ukanipitia.
Nakuja kushituka nakuta wapangaji wapo nje wanalia. Nikajua labda nilizima, walivyoona siamki wakajua nimevuta.
Nikaamua kuamka ili kuonesha mi ni mzima, nikaona hata hawana mpango na mimi. Ndio kuna jamaa akatamka kabisa kuwa Magufuli kafariki.
Nilikuwa ufipa walishangilia Sana wakasema Abubakar atakuwa rais sasa.Nipo Mkoani Tanga Lushoto huko nacheki Game ya Uefa Chelsea vs A.Madrid sina hili wa lile kuna jamaa akaropoka Magufuli kafariki..watu fasta fasta wakaingia kwenye simu zao kuverify..aisee mpira haukutazamwa tena.
moyo ulipasuka na bado upo hai!!??uzuri sikuhio nililala mapema, baada ya kuumwa kutwa nzima hoi hoi...
nilikuja kuambiwa saa11 alfajiri moyo wangu ulipasuka,sikua na amani kutwa nzima kwa mara ya kwanza niliuona msiba unavyoumaga kwakweli ilikua ni gafla mno mpaka leo nashindwa kuamini. [emoji22]
ndiomoyo ulipasuka na bado upo hai!!??
Mimi nilishangaa napita maeneo watu Wana kata kinywaji na wamefurahi,nikauliza vipi kunani wadau,mmoja akajibu KAENDA ZAKE huku akikata funda la bia.Sikumbuki nilikua wapi wakati napata taarifa ya kifo cha mwendazake.
Ila sikusikitika
Wewe ndio 7ya?Ilikuwa usiku, nikasikia Tanzia. Kifupi kwanza si kulala hadi asubuhi, na hamna msiba niliowahi kutoa machozi kama wa hayati Magufuli. Mimi ni mmoja wa watanzania tulioumia sana na kufariki kwake. R. I. P Magufuli
Endelea kulala usiamin[emoji24][emoji24]
Mpaka leo siamini mwamba amekufa. Nilikuwa nimelala saa 6 usiku rafiki yangu akanitumia sms.
Bado unaishi kwa wazazi!! Au alikupigia simu?Saa nane usiku
Mother wangu kanijulisha