Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Na ukome kwelikweli 😃[emoji38]niambie mdomo koma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukome kwelikweli 😃[emoji38]niambie mdomo koma
Uko wapi hadi mwenzio yanamkuta haya yote😃😃😃muacheni Unique Flower wangu😂
huyo ni ex wake😂 saivi yuko na mimi full kuenjoyUko wapi hadi mwenzio yanamkuta haya yote😃😃😃
Sawasawa,, kwahiyo kamkumbuka dear ex sio😃huyo ni ex wake😂 saivi yuko na mimi full kuenjoy
haya mapenzi ni nyokoBora aliyevurugwa...me nahisi nlikua kichaa kabisa [emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sirudii tena [emoji38][emoji38]Na ukome kwelikweli [emoji2]
huyu nae ndo walewaleUko wapi hadi mwenzio yanamkuta haya yote[emoji2][emoji2][emoji2]
aliefahamu kilichoandikwa hapa atusimulie sie wengine tufahamu na tujuwe kinachoulizwa hapa.Asubuhi hii mie nipo busy .
Kutoa hii post maana imeniusu 100% . Huyu kijana nilimpenda alinipenda sana . Ukiwa kijana huwezi ishi na mtu mmoja ila huyu niliishi naye sikuwa na jiibia kwa mtu.
Siku moja niliamua kwenda kumsabahi mwaya dah yupo na mwana dada anatako kubwa , ni mrefu alikuwa na nywele poa sana. Nanizake hawa wahawajaniona nikachukua video nikapeleka kuonyesha kwa ndugu zake wote.
Wakaona wakadai alikuwa anakuficha tuna nani malaya tu tena sana.
Haya siku moja aliniita mahali naona tuwe serious nimeacha kila kitu nataka tuoane.
Jamani kwasababu nilimpenda sana nikasema okay. Akafurahi kweli akamwambia mama yake. Ila mama yake alidai hamtowezana, kweli, nimalaya sana basi siku moja bà ada ya hili nilimuona na mzungu wapo busy wakikiss nikasema mmh! Ngojasasa nikachee na huu usiano kwisha.
Nilikaa muda tu, bila text wala kujibu simu zake. Muda ulipowadia wakujibu text alidai anaumwa sana sijui nini, nikaenda kamuona mtu kazima tu eti ni mafua. Ile anataka mengine nikamuonesha zile videos za yule mwanamke wa kwanza, wapili, watatu, na huyu wanne mzungu.
Nikamwambia uhusiano wako na mie umekwisha tena kabisa. Ila mie bado nampenda hivyo. Ila nilikubali kiishe, maana haya maisha tunaendeshwa na afya.
Kwani nilitoka, kumbe nilipoingia alifunga mlango kabisa🤔😓😔! Niliomba watu wafungue waligoma. Kifuatacho nichakusikitisha, maana niliamua kuplay mchezo wake. Mimi huwa ninatembea na precaution sio kinga hapana, if sitaki niwe na huyo mtu.
Nikafanya hivyo, nikaenda bafuni nikanywa hizo dawa ile nipo karibu naye nikazimia, nikaanza toa mapovu hapo nahadithiwa. Kufika hospitali wanauliza mmempa nini, kila mtu anadai hakuna hajala hata kitu kwetu wala maji, baadae after 2 month nikahama mji.
Toka hapo sijamuona tena, nilimove on, ila huyo jamaa nilimpenda sana, sijachanganya mafile nilipokuwa naye. Ila kweli nyie wanaume mnapenda kuwapanga wadada.
Je, ulipomfumania wako ilikuwaje?
tulia wewe😂huyu nae ndo walewale
🤣🤣🤣🤣🤣Kichwa kulia,kiwiliwili kushoto au sio?Mi sijawahi kufumania, kw hiyo sijui ni jinsi gani mtu anajisikia akifumania. Labda anahisi kufa kufa hivi. Kama ni hivyo, naweza nikatenganisha mtu kichwa na kiwiliwili.
[emoji1787]tulia wewe[emoji23]
Ni konyo kabisa 🤣🤣🤣,,, acheni yaendelee tu kuwachapa wanaochapika😃😃haya mapenzi ni nyoko
Lazima utakuwa umekula like 36🤣🤣🤣🤣Cc: raraa reree comment basi japo kidogo
[emoji38][emoji38][emoji38]sikosagi like zake kwa kila comment,mfikishie ujumbe mwambie natamani kuona mwandiko wakeLazima utakuwa umekula like 36[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo Kwa likes ni bingwa.....ana comment nzuri Kweli akiamuga.[emoji38][emoji38][emoji38]sikosagi like zake kwa kila comment,mfikishie ujumbe mwambie natamani kuona mwandiko wake
dada sasa hivi ninatulizo langu la moyo,unikumbuke tu kwenye maombi yako nae asije kubadilikaNi konyo kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787],,, acheni yaendelee tu kuwachapa wanaochapika[emoji2][emoji2]