Ulipomfumania umpendaye ulichukua hatua gani?

Nikijaribu kuandika nashindwa
Kwa kifupi tu huyu binti wa kifipa nimeblock no zake zote.
 
aliefahamu kilichoandikwa hapa atusimulie sie wengine tufahamu na tujuwe kinachoulizwa hapa.
 
Mi sijawahi kufumania, kw hiyo sijui ni jinsi gani mtu anajisikia akifumania. Labda anahisi kufa kufa hivi. Kama ni hivyo, naweza nikatenganisha mtu kichwa na kiwiliwili.
🤣🤣🤣🤣🤣Kichwa kulia,kiwiliwili kushoto au sio?
 
Lazima utakuwa umekula like 36[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38]sikosagi like zake kwa kila comment,mfikishie ujumbe mwambie natamani kuona mwandiko wake
 
Ni konyo kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787],,, acheni yaendelee tu kuwachapa wanaochapika[emoji2][emoji2]
dada sasa hivi ninatulizo langu la moyo,unikumbuke tu kwenye maombi yako nae asije kubadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…