Ulirudisha au kurudishiwa vitu mlipoachana?

Ulirudisha au kurudishiwa vitu mlipoachana?

Mimi huwa zinarudi kabla hatujaachana akili yangu naijua mwenyewe na ndo kawaida yangu
Dem asipokuwa makini dkk 90 napiga 3 - 0
Hahahah hiyo hatari ni ufirisi sasa
 
Sijawahi na sitawahi kumhonga demu kitu cha maana,yeye ataishia kupigwa ukuni,kupewa hela ya chips na nauli ya boda boda,hata chupi simnunulii
unatoa vitu ambavyo hata tumia baadae.
Dah ila ni vyema ukampa na assets kidogo.
 
Back
Top Bottom