Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laptop yenyewe ipo slowwwwwwww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahah hapo uhakika, vitu vya thamani hua wanaomba.
Kweli kabisa ni vyema yeye ndo akabaki na wasiwasi kuhisi kuombwa vitu.Nilimpa simu ilikuwa hajawahi kutumia simu kubwa tukaachana baada ya kufuma text anachat na jamaa mwingine na sikumdai ila baadae alikuja kunitafuta akaomba msamaha ila hatupo tena pamoja japo tunawasiliana mara moja moja.
Nikidai vitu baada ya kuachana nakuwa sina amani
Acha tu.....Haaaa ukiachilia mbali hivyo vingine sasa Wig alitaka ukae hivyo hivyo.
Hatari sana hai cha kubakizaAkii Calculator yangu niliyompa alirudisha🤔
Ila kama vya thamani unaombaMkishaachana hamna haja ya kurudishiana mlivyopeana.
Hakuna kitu kinaumiza kama mkiachana harafu mwenzio alete madoido.
Je, wewe ilikuwaje mlivyo achana.
Rejea STAN BAKORA alicho sema yeye.
🤣🤣Nipe mimi badala yake nitamfikishia
Tena nilimpokonya😂😂Hatari sana hai cha kubakiza
Tatizo huna hela ..ukiwa nazo za kutosha utaona hivyo ni vitu vidogoHivi mpaka mtu unafikia kumnunulia mwanamke gari, nyumba nk anakua amekupa nini hasa chenye thamani kiasi hicho? Aisee mimi bado sijakutana na mwanamke wa kumhonga hata simu tu..😂😂