TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Kweli eeh?Tatizo huna hela ..ukiwa nazo za kutosha utaona hivyo ni vitu vidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli eeh?Tatizo huna hela ..ukiwa nazo za kutosha utaona hivyo ni vitu vidogo
Ulifanya vibaya ungeachaTena nilimpokonya😂😂
Nimeichukua hiiTatizo huna hela ..ukiwa nazo za kutosha utaona hivyo ni vitu vidogo
Ndio maana unaumwa Mkuu,una mambo mengi huku unasoma.Mimi huwa zinarudi kabla hatujaachana akili yangu naijua mwenyewe na ndo kawaida yangu
Dem asipokuwa makini dkk 90 napiga 3 - 0
Mbususu depreciation nimuachie na calculator pia, hell no🤪Ulifanya vibaya ungeacha
Duh.. Vp kuhusu hisia?Akii Calculator yangu niliyompa alirudisha[emoji848]
Unamuachia ili mkitaka kurudiana isiwe shida calculator iwe kisingizio.Mbususu depreciation nimuachie na calculator pia, hell no🤪
Unabalaa inatakiwa nikupatie kitu tukizinguana tunarudishiana.Sijawahi rudisha wala rudishiwa
Nirudiane na Ex ? Mmh simuamini acha tu nibaki na calculator yanguUnamuachia ili mkitaka kurudiana isiwe shida calculator iwe kisingizio.
Hi Doctor!
Hapa akiwa na yeye yupo JF anaangalia tu ubavyo mshushaNirudiane na Ex ? Mmh simuamini acha tu nibaki na calculator yangu
Kifungo kilikuwa murua kabisa.. Nilikuta selo ina kila kitu kasoro ma j[emoji23] aliyenisababishia kesiHi Doctor!
Habari ya kufungoni(ban)[emoji2957] hisia hazikuwepo tena ndiyo maana tukaachana.
Hahaa wala ni kipindi hicho chuo huko wala hata hayupo humu. Kwani kudai calculator yangu ni kumshusha? Yeye alivoishusha mbususu yangu je?🤔Hapa akiwa na yeye yupo JF anaangalia tu ubavyo mshusha
Hahah kumbe yeye ndio alianza kushusha mbususu yako.Hahaa wala ni kipindi hicho chuo huko wala hata hayupo humu. Kwani kudai calculator yangu ni kumshusha? Yeye alivoishusha mbususu yangu je?🤔
😂😂 kumbe uliponzwa na Mama J, pole doctor sababu ulishare humu connection ama?🤔Kifungo kilikuwa murua kabisa.. Nilikuta selo ina kila kitu kasoro ma j[emoji23] aliyenisababishia kesi
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
hayo mambo sijaendekeza hata chanzo cha kuumwa ni kingne nipo alone toka 2019Ndio maana unaumwa Mkuu,una mambo mengi huku unasoma.